Kwahiyo tufanyeje? Masaburi wewe
Unavyoshangaa na wengine nao wanakushangaa kwa jinsi unavyoweza kupenda CCM B. Haya mambo yanataka uvumilivu na ukomavu wa kisiasa.Ivi mtu unaweza kuwa na akili timamu na unajielewa vizuri afu ukaipenda CCM!!?.....unajua me huwa nashanga sana?.
Aisee tunaitaji kusoma sana kama watz ili kuelewe vizuri mambo...kaa!!!