Huyu ndio Kikwete bwana!

Huyu ndio Kikwete bwana!

Nani kasema???hata angejifungia ndani na mama salma hela zingepatkana tu kwanza nssf ndo wametoa mk2anja mrefu pale
nafikiri unamaanisha magufuri haendi nchi za nje na kuna maenedeleo lakn tambua rais anawasaidizi wake ndo wanaoenda kumuwakilisha. jiulize hayo mataifa makubwa yafafa nn huku kwetu? wakat wanapesa nyingi. jibu ni kwamba huwezi ukaendelea kwa kutegemea kodi za ndani, ndo maana kuna biashara za kimataifa ili utanue uchumi wa nchi yako
 
Unajua wakati wa uongozi wa mahabuba wako JK deni la taifa lilipanda kiasi gani? Unajua kama yaliyofanywa hayafanani na deni alilokopa huko 'alikonkitembea'?

Unajua kwa raslimali zetu asingetakiwa kukopa hivyo?

Nchi inaweza kuniendesha kwa mapato yake ikiamua espeshali kama imejaaliwa kama yetu
mm hata sijui ebu niambie
 
Tatizo lako ni kuwa hujiamini mkuu. Hicho unachosema kuwa hakuna nchi inajiendesha kwa kodi zake unaamanisha nchi zote zinaishi kwa kuombaomba? Mbona unakariri na kuishi maisha ya kuiga kila kitu? Kama hakuna nchi inaweza kuishi kwa kodi zake zenyewe, Tanzania tunaweza tukiamua.
mbona hapa penyewe tumeamua lakn bado tunasubiri pesa za wahisani.. usiwe bichwa maji kukopa pesa sio dhambi na ukikopa ukapata hasara sio dhambi bali inakuwa risk
 
Unajua wakati wa uongozi wa mahabuba wako JK deni la taifa lilipanda kiasi gani? Unajua kama yaliyofanywa hayafanani na deni alilokopa huko 'alikonkitembea'?

Unajua kwa raslimali zetu asingetakiwa kukopa hivyo?

Nchi inaweza kuniendesha kwa mapato yake ikiamua espeshali kama imejaaliwa kama yetu
Unajua miezi nane tu ya awamu hii deni lishafika kiasi gani ? Hebu muacheni mzee wa watu Jk
 
Fala kweli wewe,huyu asiyezurula pesa anatoa wapi???laiti ingelikuwa kuzurula kwa jk ndo kunailetea nchi hela nafikiri tanzania ilitakiwa kusiwe na shida yoyote maana hyo mkwele kazurula kuliko maelezo

Pole Ndugu yangu! Chuki zenu ndio Catalyst ya kung'arisha Nyota ya Mh. Dr, Mbunge Mstaafu, Waziri Mstaafu, Rais Mstaafu,Amiri Jeshi Mstaafu Mwenyekiti wa AU Mstaafu,Mwenyekit wa EA Mstaafu, Mwanamtandao mstaafu Msuluhishi wa Migogoro ya Libya na Mozambique Mwanadiplomasia Nguli Duniani Jakaya Mrisho Kikwete.
 
Asallaam alleykum na tumsifu Yesu kristo, kama kinavyojieleza kichwa cha habari hapo juu;

watu wengi wamekuwa wakimponda rais mstaafu jakaya mrisho kikwete wakisema eti amepiga pesa nyingi na wengine wakisema alikuwa mzee wa madili.

Watu tunamsifu Rais magufuli na kumsahau kikwete, ndiye aliyempigania huyu tingatinga kuingia ikulu. Kipindi magufuli akiwa waziri wa miundombinu tujiulize alikuwa anatoa pesa wapi za kujenga barabara kama sio kwa kikwete.

Kikwete ndo aliyepigana kutafuta pesa za kumpa waziri wake li ajenge barabara. Alisababisha hata idadi ya ikulu iwe ndogo aliangaika nchi za ughaibuni hata kukopa ili ampe waziri wa ujenzi wakati huo magufuri ili akajenge barabara. Hii ilipelekea kikwete kusimangwa na watu kwamba anazurura ovyo hatulii chini kwake. lakin tujiulize asingeangaika hizo pesa angepata wapi? hizo barabara zingetoka wapi? pengine hata magufuli asingeshinda urais maana angekuwa hamna alichofanya kipindi cha uwaziri wake.

tukumbuke kikwete ndio aliyempigania huyu rais wa sasa magufuli, mzee kikwete alikuwa halali usiku kucha akifanya mipango ya magufuli ashinde, maana uchaguzi uliopita ulikuwa na ushindani mkubwa na ikapelekea hata baadhi ya viongozi wa chama wa ccm kuhama wakiwemo mawaziri wastaafu hata wabunge pia walihama.

Rais mstaafu akuogopa wala kutishwa kwa kuhama hao viongozi yeye alisimamia msimamo wake wa chama kwanza mengine baadae yaani magufuli ashinde kwanza afu mengine baadae. Watu walianza kumsanifu kikwete wakisema chama sasa kinamfia mikononi mwake maanahaiwezekani mawaziri wakuu wastaafu na wabunge wakihame chama.

Lakini huyu mkwere hakuogopa ndo hapa naanza kufikiri pengine hawa watu wa pwani ni wataalamu kwa mambo ya fitina, nafikiri alitumia mbinu za kikwere kukirudishia heshima chama cha ccm.
Akili za kushikiwa hizi zinataabu kweli
 
mbona hapa penyewe tumeamua lakn bado tunasubiri pesa za wahisani.. usiwe bichwa maji kukopa pesa sio dhambi na ukikopa ukapata hasara sio dhambi bali inakuwa risk

Hapa ndo nimeamini kuwa wewe ni mama! Nani kasema kukopa ni dhambi wewe? Kusubiri pesa za wahisani ni uamuzi pia mamangu. Kinachokupa shida ni tatizo lako lakuaona kila kitu ni "natural". Vingine ni maamuzi yako na unaweza kuamua kufanya au kutokufanya. Akili yako umeshikiwa na wengine na ni ngumu sana kuelewa. Fikiri kivyako, achana na kushikiwa akili.
 
Nawaza kwa sauti. Hii ni baada ya ukuu Wa Wilaya na mambo yafananayo kuota mbawa. Ndio maisha lkn.
 
Pole Ndugu yangu! Chuki zenu ndio Catalyst ya kung'arisha Nyota ya Mh. Dr, Mbunge Mstaafu, Waziri Mstaafu, Rais Mstaafu,Amiri Jeshi Mstaafu Mwenyekiti wa AU Mstaafu,Mwenyekit wa EA Mstaafu, Mwanamtandao mstaafu Msuluhishi wa Migogoro ya Libya na Mozambique Mwanadiplomasia Nguli Duniani Jakaya Mrisho Kikwete.
Laiti ya kwamba Taifa letu lingekuwa kama Urusi mwaka 2020 JK tungemrudisha ikulu.Ngosha anashangaa meli tu pale magogoni ndo anahis keshamaliza dunia,Taifa bila mahusiano haliendi lazima ashinikizwe kupanda ndege hata kama ni anaogopa.Kutegemea mabalozi waliopo nje na Mahiga mpaka aombe kibali nchi itadumaa
 
Back
Top Bottom