simba songea
JF-Expert Member
- Feb 8, 2016
- 1,496
- 1,218
- Thread starter
- #21
usipaniki kijana, kama haikuhusu wewe pita tuBasi kuwa makini jiangalie, siku ingine usije ukajikuta umejikuta tu unafanya mengine yasiyofaa kwenye jamii
usipaniki kijana, kama haikuhusu wewe pita tuBasi kuwa makini jiangalie, siku ingine usije ukajikuta umejikuta tu unafanya mengine yasiyofaa kwenye jamii
Endelea kufikirinafikiri baada ya kusoma umekuwa motojuu
hassara=hasarawe ni killaza kuliko villaza wote sijapata kuona hassara kwa taifa
wewe wasemaNa bado hadi mumuite alikuwa raisi wa malaika!hehehe
hamna nilichowaza nimejikuta tu!!! imetokea
nafikiri hapo ndo mwisho wako wa kuelimika sikulaumu, nchi gani duniani inajiendesha kwa kodi zake pekee? usinipe jipuDaaah hii ndo elimu yetu Tanzania, unashindwa kutambua hata kodi ya wananchi ndo inayotumika katika miradi mbalimbali ya maendeleo afu unasema kikwete eti alikuwa anatembea ili apate hela na kumpa JPM ajenge barabara, mda mwingne tufikiri kwa undani kabla ya kuandika kitu chochote, nyie ndo wale hata sakata la escrow mnajua zile fedha sio za wananchi.....think big brother
wewe wasema
mkuu mbona unatoka nje ya mada? katika post hamna neno malaika lakini..Mahaba uliyonayo lazima utasema alikua malaika.
nafikiri hapo ndo mwisho wako wa kuelimika sikulaumu, nchi gani duniani inajiendesha kwa kodi zake pekee? usinipe jipu
hoja gani unataka niijibu? wakat hakuna hoja yoyoteAcha woga jibu hoja dogo. Unajifanya kuandika kwa kuotea sana. Yaan wewe kila kitu unaotea??
hoja gani unataka niijibu? wakat hakuna hoja yoyote
Kama ndio hivyo basi futa uzi huu upeleke sehemu nyingine kusikutakiwa kufikiri kabla ya kuandika. Hapa ni JF and is only for GREAT THINKERS. UNFORTUNATELY YOU ARE NOT ONE OF THEM !hamna nilichowaza nimejikuta tu!!! imetokea
Haswaa umenena mkuuAsallaam alleykum na tumsifu Yesu kristo, kama kinavyojieleza kichwa cha habari hapo juu;
watu wengi wamekuwa wakimponda rais mstaafu jakaya mrisho kikwete wakisema eti amepiga pesa nyingi na wengine wakisema alikuwa mzee wa madili.
Watu tunamsifu Rais magufuli na kumsahau kikwete, ndiye aliyempigania huyu tingatinga kuingia ikulu. Kipindi magufuli akiwa waziri wa miundombinu tujiulize alikuwa anatoa pesa wapi za kujenga barabara kama sio kwa kikwete.
Kikwete ndo aliyepigana kutafuta pesa za kumpa waziri wake li ajenge barabara. Alisababisha hata idadi ya ikulu iwe ndogo aliangaika nchi za ughaibuni hata kukopa ili ampe waziri wa ujenzi wakati huo magufuri ili akajenge barabara. Hii ilipelekea kikwete kusimangwa na watu kwamba anazurura ovyo hatulii chini kwake. lakin tujiulize asingeangaika hizo pesa angepata wapi? hizo barabara zingetoka wapi? pengine hata magufuli asingeshinda urais maana angekuwa hamna alichofanya kipindi cha uwaziri wake.
tukumbuke kikwete ndio aliyempigania huyu rais wa sasa magufuli, mzee kikwete alikuwa halali usiku kucha akifanya mipango ya magufuli ashinde, maana uchaguzi uliopita ulikuwa na ushindani mkubwa na ikapelekea hata baadhi ya viongozi wa chama wa ccm kuhama wakiwemo mawaziri wastaafu hata wabunge pia walihama.
Rais mstaafu akuogopa wala kutishwa kwa kuhama hao viongozi yeye alisimamia msimamo wake wa chama kwanza mengine baadae yaani magufuli ashinde kwanza afu mengine baadae. Watu walianza kumsanifu kikwete wakisema chama sasa kinamfia mikononi mwake maanahaiwezekani mawaziri wakuu wastaafu na wabunge wakihame chama.
Lakini huyu mkwere hakuogopa ndo hapa naanza kufikiri pengine hawa watu wa pwani ni wataalamu kwa mambo ya fitina, nafikiri alitumia mbinu za kikwere kukirudishia heshima chama cha ccm.
Siwezi kubishana na mtu asiye elewa maana ya kodi ya wananchi, endelea kuamini hivo kuwa kutembea sana kwa kikwete ndo kupata maendeleo nchini, JPM mbona hatembei na kuna vitu vizuri vinaanza kuonekana? Mbona enzi za kikwete vitanda hospitalini watu walikuwa wakilala chini, rushwa chungu nzima, kujibinafsisha mali za umma, gape kati ya walio nacho na wasio nacho kuongezeka fikiri kwa undani kaka kikwete alikuwa anatembea lakini nyuma yake ni miradi ya upigaji hakuna chochote
Umeniwahi mzee, maana kuna watu kama wanakurupuka tu.Kama huna cha kuandika/kufanya bora ukalale kuliko kuandika utumbo wa namna hiyo
sory am not mama, am father,, hiv unavyofikiri hizo pesa zinatoka bila rais kujua? hakuna nchi inayojiendesha kwa kodi zake pekee ninamaana ugali maharage miksa chapati nouma sanaUnadai kuwa Kikwete alikua anampa waziri hela ya kujenga barabara as if alikua anatoa mshahara wake, tambua kua ile ni kodi yako. Acha hofu na mihemko dogo!! Pia unavyosema hakuna nchi inajiendesha kwa mapato yake yenyewe una maana gani mama??!