Huyu ndio Kikwete bwana!

Huyu ndio Kikwete bwana!

sory am not mama, am father,, hiv unavyofikiri hizo pesa zinatoka bila rais kujua? hakuna nchi inayojiendesha kwa kodi zake pekee ninamaana ugali maharage miksa chapati nouma sana

You cant be a father! You must be joking, don't mess with us please.
 
Asallaam alleykum na tumsifu Yesu kristo, kama kinavyojieleza kichwa cha habari hapo juu;

watu wengi wamekuwa wakimponda rais mstaafu jakaya mrisho kikwete wakisema eti amepiga pesa nyingi na wengine wakisema alikuwa mzee wa madili.

Watu tunamsifu Rais magufuli na kumsahau kikwete, ndiye aliyempigania huyu tingatinga kuingia ikulu. Kipindi magufuli akiwa waziri wa miundombinu tujiulize alikuwa anatoa pesa wapi za kujenga barabara kama sio kwa kikwete.

Kikwete ndo aliyepigana kutafuta pesa za kumpa waziri wake li ajenge barabara. Alisababisha hata idadi ya ikulu iwe ndogo aliangaika nchi za ughaibuni hata kukopa ili ampe waziri wa ujenzi wakati huo magufuri ili akajenge barabara. Hii ilipelekea kikwete kusimangwa na watu kwamba anazurura ovyo hatulii chini kwake. lakin tujiulize asingeangaika hizo pesa angepata wapi? hizo barabara zingetoka wapi? pengine hata magufuli asingeshinda urais maana angekuwa hamna alichofanya kipindi cha uwaziri wake.

tukumbuke kikwete ndio aliyempigania huyu rais wa sasa magufuli, mzee kikwete alikuwa halali usiku kucha akifanya mipango ya magufuli ashinde, maana uchaguzi uliopita ulikuwa na ushindani mkubwa na ikapelekea hata baadhi ya viongozi wa chama wa ccm kuhama wakiwemo mawaziri wastaafu hata wabunge pia walihama.

Rais mstaafu akuogopa wala kutishwa kwa kuhama hao viongozi yeye alisimamia msimamo wake wa chama kwanza mengine baadae yaani magufuli ashinde kwanza afu mengine baadae. Watu walianza kumsanifu kikwete wakisema chama sasa kinamfia mikononi mwake maanahaiwezekani mawaziri wakuu wastaafu na wabunge wakihame chama.

Lakini huyu mkwere hakuogopa ndo hapa naanza kufikiri pengine hawa watu wa pwani ni wataalamu kwa mambo ya fitina, nafikiri alitumia mbinu za kikwere kukirudishia heshima chama cha ccm.
Ndio umeandika NINI!
 
sory am not mama, am father,, hiv unavyofikiri hizo pesa zinatoka bila rais kujua? hakuna nchi inayojiendesha kwa kodi zake pekee ninamaana ugali maharage miksa chapati nouma sana

Tatizo lako ni kuwa hujiamini mkuu. Hicho unachosema kuwa hakuna nchi inajiendesha kwa kodi zake unaamanisha nchi zote zinaishi kwa kuombaomba? Mbona unakariri na kuishi maisha ya kuiga kila kitu? Kama hakuna nchi inaweza kuishi kwa kodi zake zenyewe, Tanzania tunaweza tukiamua.
 
Siwezi kubishana na mtu asiye elewa maana ya kodi ya wananchi, endelea kuamini hivo kuwa kutembea sana kwa kikwete ndo kupata maendeleo nchini, JPM mbona hatembei na kuna vitu vizuri vinaanza kuonekana? Mbona enzi za kikwete vitanda hospitalini watu walikuwa wakilala chini, rushwa chungu nzima, kujibinafsisha mali za umma, gape kati ya walio nacho na wasio nacho kuongezeka fikiri kwa undani kaka kikwete alikuwa anatembea lakini nyuma yake ni miradi ya upigaji hakuna chochote
heri ya wajinga kuliko wasema uongo,

kipindi hao wanajibinafsisha wewe ulikuwa wapi?
 
sory am not mama, am father,, hiv unavyofikiri hizo pesa zinatoka bila rais kujua? hakuna nchi inayojiendesha kwa kodi zake pekee ninamaana ugali maharage miksa chapati nouma sana
Unajua wakati wa uongozi wa mahabuba wako JK deni la taifa lilipanda kiasi gani? Unajua kama yaliyofanywa hayafanani na deni alilokopa huko 'alikonkitembea'?

Unajua kwa raslimali zetu asingetakiwa kukopa hivyo?

Nchi inaweza kuniendesha kwa mapato yake ikiamua espeshali kama imejaaliwa kama yetu
 
Kama ndio hivyo basi futa uzi huu upeleke sehemu nyingine kusikutakiwa kufikiri kabla ya kuandika. Hapa ni JF and is only for GREAT THINKERS. UNFORTUNATELY YOU ARE NOT ONE OF THEM !
pia nikijisikia kufuta nitafuta..wala mapovu yasikutoke
 
Asallaam alleykum na tumsifu Yesu kristo, kama kinavyojieleza kichwa cha habari hapo juu;

watu wengi wamekuwa wakimponda rais mstaafu jakaya mrisho kikwete wakisema eti amepiga pesa nyingi na wengine wakisema alikuwa mzee wa madili.

Watu tunamsifu Rais magufuli na kumsahau kikwete, ndiye aliyempigania huyu tingatinga kuingia ikulu. Kipindi magufuli akiwa waziri wa miundombinu tujiulize alikuwa anatoa pesa wapi za kujenga barabara kama sio kwa kikwete.

Kikwete ndo aliyepigana kutafuta pesa za kumpa waziri wake li ajenge barabara. Alisababisha hata idadi ya ikulu iwe ndogo aliangaika nchi za ughaibuni hata kukopa ili ampe waziri wa ujenzi wakati huo magufuri ili akajenge barabara. Hii ilipelekea kikwete kusimangwa na watu kwamba anazurura ovyo hatulii chini kwake. lakin tujiulize asingeangaika hizo pesa angepata wapi? hizo barabara zingetoka wapi? pengine hata magufuli asingeshinda urais maana angekuwa hamna alichofanya kipindi cha uwaziri wake.

tukumbuke kikwete ndio aliyempigania huyu rais wa sasa magufuli, mzee kikwete alikuwa halali usiku kucha akifanya mipango ya magufuli ashinde, maana uchaguzi uliopita ulikuwa na ushindani mkubwa na ikapelekea hata baadhi ya viongozi wa chama wa ccm kuhama wakiwemo mawaziri wastaafu hata wabunge pia walihama.

Rais mstaafu akuogopa wala kutishwa kwa kuhama hao viongozi yeye alisimamia msimamo wake wa chama kwanza mengine baadae yaani magufuli ashinde kwanza afu mengine baadae. Watu walianza kumsanifu kikwete wakisema chama sasa kinamfia mikononi mwake maanahaiwezekani mawaziri wakuu wastaafu na wabunge wakihame chama.

Lakini huyu mkwere hakuogopa ndo hapa naanza kufikiri pengine hawa watu wa pwani ni wataalamu kwa mambo ya fitina, nafikiri alitumia mbinu za kikwere kukirudishia heshima chama cha ccm.
açha upuuzi, pesa hazikuwa za kikwete wala magu, ni kodi zetu. Jiulize ithiopia imejenga miundombinu ya hali ya juu mbona rais Wao haishi angani Kama jk?
 
Siwezi kubishana na mtu asiye elewa maana ya kodi ya wananchi, endelea kuamini hivo kuwa kutembea sana kwa kikwete ndo kupata maendeleo nchini, JPM mbona hatembei na kuna vitu vizuri vinaanza kuonekana? Mbona enzi za kikwete vitanda hospitalini watu walikuwa wakilala chini, rushwa chungu nzima, kujibinafsisha mali za umma, gape kati ya walio nacho na wasio nacho kuongezeka fikiri kwa undani kaka kikwete alikuwa anatembea lakini nyuma yake ni miradi ya upigaji hakuna chochote
Acha mihemko kwanza, andika kama unajielewa mama. Hoja hapa ni wewe kukariri kuwa JK alikua anampa JPM hela ya kujenga barabara, Hujui hata kuwa kuna maswala ya budget na miradi mingi ilitegemea budget ambayo JK hakuwahi kuipanga ila Bunge. Kama huelewi tena, pita hivii..................
umemjibu vizuri mkuu, ndo maana nkasema huyu kijana elimu yake imekoma hapo kwamba kila maendeleo ni kodi za wananchi,,ajiulize china pamoja na maendeleo waliyonayo wanafata nini benki ya dunia WB
 
Asallaam alleykum na tumsifu Yesu kristo, kama kinavyojieleza kichwa cha habari hapo juu;

watu wengi wamekuwa wakimponda rais mstaafu jakaya mrisho kikwete wakisema eti amepiga pesa nyingi na wengine wakisema alikuwa mzee wa madili.

Watu tunamsifu Rais magufuli na kumsahau kikwete, ndiye aliyempigania huyu tingatinga kuingia ikulu. Kipindi magufuli akiwa waziri wa miundombinu tujiulize alikuwa anatoa pesa wapi za kujenga barabara kama sio kwa kikwete.

Kikwete ndo aliyepigana kutafuta pesa za kumpa waziri wake li ajenge barabara. Alisababisha hata idadi ya ikulu iwe ndogo aliangaika nchi za ughaibuni hata kukopa ili ampe waziri wa ujenzi wakati huo magufuri ili akajenge barabara. Hii ilipelekea kikwete kusimangwa na watu kwamba anazurura ovyo hatulii chini kwake. lakin tujiulize asingeangaika hizo pesa angepata wapi? hizo barabara zingetoka wapi? pengine hata magufuli asingeshinda urais maana angekuwa hamna alichofanya kipindi cha uwaziri wake.

tukumbuke kikwete ndio aliyempigania huyu rais wa sasa magufuli, mzee kikwete alikuwa halali usiku kucha akifanya mipango ya magufuli ashinde, maana uchaguzi uliopita ulikuwa na ushindani mkubwa na ikapelekea hata baadhi ya viongozi wa chama wa ccm kuhama wakiwemo mawaziri wastaafu hata wabunge pia walihama.

Rais mstaafu akuogopa wala kutishwa kwa kuhama hao viongozi yeye alisimamia msimamo wake wa chama kwanza mengine baadae yaani magufuli ashinde kwanza afu mengine baadae. Watu walianza kumsanifu kikwete wakisema chama sasa kinamfia mikononi mwake maanahaiwezekani mawaziri wakuu wastaafu na wabunge wakihame chama.

Lakini huyu mkwere hakuogopa ndo hapa naanza kufikiri pengine hawa watu wa pwani ni wataalamu kwa mambo ya fitina, nafikiri alitumia mbinu za kikwere kukirudishia heshima chama cha ccm.
Mada nzuri lakini nikuulize, unafikiri Magufuli kashinda sababu ya kujenga barabara? Je unafikiri ccm wangemsimamisha mtu mwingine leo hasingekua raisi? Je unafikiri Magufuli kawekwa na kura za watanzania walio wengi? Unajua kuna vyama ata liwekwe jiwe litafanyiwa mbinu litashinda tu, ikumbukwe ushindi upo kwenye tume kwa hapa Tanzania, how mimi sijui tafuta mwenyewe.
 
açha upuuzi, pesa hazikuwa za kikwete wala magu, ni kodi zetu. Jiulize ithiopia imejenga miundombinu ya hali ya juu mbona rais Wao haishi angani Kama jk?
ithiopia=ETHIOPIA, AFU SIKU NYINGINE KABLA hujapost hakikisha maneno yako..nchi za afrika bajeti zao zinategemea wahisani jiongeze kijana,,usiwe kama mzee
 
Haya makitu ya aina hii sijui yalizaliwa ili iweje! Ni kubania watu wenye akili zao hewa tu.
 
Mada nzuri lakini nikuulize, unafikiri Magufuli kashinda sababu ya kujenga barabara? Je unafikiri ccm wangemsimamisha mtu mwingine leo hasingekua raisi? Je unafikiri Magufuli kawekwa na kura za watanzania walio wengi? Unajua kuna vyama ata liwekwe jiwe litafanyiwa mbinu litashinda tu, ikumbukwe ushindi upo kwenye tume kwa hapa Tanzania, how mimi sijui tafuta mwenyewe.
nafikiri ulishawahi kupiga kura? uchaguzi wowote lazima uwe na figisufigisu, sasa kama hatopatikana mtu anayeweza kuyashinda hivyo figisufigisu utaangukia pua.. unawezakuwa umeshinda lkn hakuna atayesimamia huo ushindi wako lazima uangukie pua..

sio kwamba magufur kateuliwa kwa ajili ya barabara tu, bali nilitaka uelewe yeye alikuwa waziri wa ujenzi sasa mambo yote ya miundombinu yapo chini yake,, lazima ujiongeze
 
Back
Top Bottom