Baada ya Madonna.Atamalizia ziara yake kwa Lady Gaga.
hapa yuko mzee mwenyewe steven seagal bado elton john tu amalize kazi
View attachment 40412
na hapa yuko na nani?
Acha uongo. Isitoshe jk huwa anaona ni deal sana kuongea na wanamichezo maarufu wa nje na siyo hapa bongo.Masanja mkandamizaji