Simba wakatapeliwa KIA walizokuwa wameahidiwa wakaenda kupewa mikweche ya JABAGodwin Aswile na Thomas Kipese walichezea Simba msimu wa 1993 baada kutimuliwa Yanga kwa tuhuma za rushwa...
Toyota COROLLASimba wakatapeliwa KIA walizokuwa wameahidiwa wakaenda kupewa mikweche ya JABA
Janja janja sanaToyota COROLLA
Tumewamiss sana mabeki makatili kama hawa!!mabeki wetu siku hizi nyoronyoro sana!!Godwin Aswile ScaniaaView attachment 2010227
Godwin Aswile Mulimba
Beki wa kati aliyepata sifa kubwa kutokana na uchezaji wake wa kutumia nguvu na akili kwa pamoja huku akiziba vizuri makosa ya mabeki wake wapembeni pindi inapotokea wamepitwa katika kipindi chake cha uchezaji aliweza kuisaidia Yanga ubingwa wa Tanzania mwaka 1993
ZAMA ZAKE AKICHEZEA YANGA SC
BEKI wa Yanga SC, Godwin Aswile Mulimba ‘Scania’ (kushoto) akiingiza mguu kuondosha mpira kwenye himaya ya mchezaji wa Kurugenzi Dodoma katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara mwaka 1988 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-1.
Aswile maana yake kanileaTumewamiss sana mabeki makatili kama hawa!!mabeki wetu siku hizi nyoronyoro sana!!Godwin Aswile Scaniaa
alaaa wacha banaAswile maana yake kanilea
Bro akili ya huyo aliyekujibu ni coloured vapourVery disappointing answer.
Anakaa Keko kwa Wanyakyusa wenzake!Duu kuna kipindi late 1990s nilikuwa nawaona maeneo ya kurasini yeye na salum kabunda
Tukuyu Stars kwenye Timu ya Kaka!Walikuwa kama mapacha,wote walitokea Tukuyu Stars Banyambala
Nagha Mwaisa!Aswile maana yake kanilea
Halafu kulikuwa na beki wa kushoto wa Simba anaitwa Michael Kidilu kutoka Igoma (Dar es Salaam Ndogo) kwa walima viazi chips alikuwa wamoto ni balaa.Godwin Aswile na Thomas Kipese walichezea Simba msimu wa 1993 baada kutimuliwa Yanga kwa tuhuma za rushwa.
Hata hivyo, wakiwa Simba mwaka huo walichezea mechi za kimataifa pekee.
Maana wakati wanatua Simba tayari dirisha la usajiri kwa ligi ya ndani lilishafungwa.
Aswile na Kipese walitoa mchango mkubwa kwa mafanikio ya Simba kimataifa mwaka huo.
Mwaka 1993 ndiyo mwaka ambao Simba ilifika fainali Kombe la CAF ikiwa na kikosi kilichojaa vipaji akiwemo Godwin Aswile Mlimba.
HakikaTukuyu Stars kwenye Timu ya Kaka!
Madereva....riziki popote ila Kabunda RIP.Duu kuna kipindi late 1990s nilikuwa nawaona maeneo ya kurasini yeye na salum kabunda
AmenisameheAswile maana yake kanilea