Huyu ndio Godwin Aswile (Scania)

View attachment 2010227

Godwin Aswile Mulimba
Beki wa kati aliyepata sifa kubwa kutokana na uchezaji wake wa kutumia nguvu na akili kwa pamoja huku akiziba vizuri makosa ya mabeki wake wapembeni pindi inapotokea wamepitwa katika kipindi chake cha uchezaji aliweza kuisaidia Yanga ubingwa wa Tanzania mwaka 1993

ZAMA ZAKE AKICHEZEA YANGA SC​

BEKI wa Yanga SC, Godwin Aswile Mulimba ‘Scania’ (kushoto) akiingiza mguu kuondosha mpira kwenye himaya ya mchezaji wa Kurugenzi Dodoma katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara mwaka 1988 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-1.


Those were the days when football was football, The Man from Lyenje Ikuti, Olafu Mwamlima alifuata nyayo za huyu Bro nikiwa katoto enzi hizo sijaanza hata primary, nikiwa na wazazi kiwira magereza afande mtoto wa afande. Asante kwa uhai Mungu.
 
Halafu kulikuwa na beki wa kushoto wa Simba anaitwa Michael Kidilu kutoka Igoma (Dar es Salaam Ndogo) kwa walima viazi chips alikuwa wamoto ni balaa.
Michael Kidilu amekuja Simba msimu wa 1987 akitokea Tukuyu stars akiwa pamoja na kiungo wa chini Aston Pardon.
Hata hivyo Kidilu alipata tabu sana kumiliki beki ya kushoto, maana Twaha Hamidu alitawala vilivyo upande huo.
Msimu huu Simba ilikuwa na kikosi kikali, ingawa hujuma za baadhi ya matajiri wa timu hiyo zimepelekea kunusurika kushuka daraja.
 
Michael Kidilu amekuja Simba msimu wa 1987 akitokea Tukuyu stars akiwa pamoja na kiungo wa chini Aston Pardon.
Hata hivyo Kidilu alipata tabu sana kumiliki beki ya kushoto, maana Twaha Hamidu alitawala vilivyo upande huo.
Msimu huu Simba ilikuwa na kikosi kikali, ingawa hujuma za baadhi ya matajiri wa timu hiyo zimepelekea kunusurika kushuka daraja.
Kumbukumbu mujarab kabisa
 
Screenshot_20220913-134626_Chrome.jpg
 
Duu kuna kipindi late 1990s nilikuwa nawaona maeneo ya kurasini yeye na salum kabunda
Walikua wanaishi huko. Walikua wakiishi nyumba moja then wakagawanyika kutafuta space zaidi kwa ajili ya uhitaji wa nafasi.
 
Yeah,
Ilikua motisha au ahad hewa. Baada ya kuona inaenda kutimia mtoa ahadi ikabid afanye figisu tukose kombe ili asiingie gharama za KIA 30
Acheni porojo bwana, la sivyo tupe ushahidi. Simba walifungwa kihalali kabisa na Stella Abidjan kwani wachezaji wa Simba akina Rashid Abdallah, George Masatu, Dua Said, Edward Chumila na wengine walikuwa wameshikwa sana na kihoro na kupanik sana.
 
Acheni porojo bwana, la sivyo tupe ushahidi. Simba walifungwa kihalali kabisa na Stella Abidjan kwani wachezaji wa Simba akina Rashid Abdallah, George Masatu, Dua Said, Edward Chumila na wengine walikuwa wameshikwa sana na kihoro na kupanik sana.
Kweli kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom