Siku hizi kumejaa utoto humu!!Very disappointing answer.
Siku hizi kumejaa utoto humu!!Very disappointing answer.
Lakini ahadi ya Kia si ilikuwa wakichukuwa kombe la CAF? Au mimi ndio nimesahau?Simba wakatapeliwa KIA walizokuwa wameahidiwa wakaenda kupewa mikweche ya JABA
Those were the days when football was football, The Man from Lyenje Ikuti, Olafu Mwamlima alifuata nyayo za huyu Bro nikiwa katoto enzi hizo sijaanza hata primary, nikiwa na wazazi kiwira magereza afande mtoto wa afande. Asante kwa uhai Mungu.View attachment 2010227
Godwin Aswile Mulimba
Beki wa kati aliyepata sifa kubwa kutokana na uchezaji wake wa kutumia nguvu na akili kwa pamoja huku akiziba vizuri makosa ya mabeki wake wapembeni pindi inapotokea wamepitwa katika kipindi chake cha uchezaji aliweza kuisaidia Yanga ubingwa wa Tanzania mwaka 1993
ZAMA ZAKE AKICHEZEA YANGA SC
BEKI wa Yanga SC, Godwin Aswile Mulimba ‘Scania’ (kushoto) akiingiza mguu kuondosha mpira kwenye himaya ya mchezaji wa Kurugenzi Dodoma katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara mwaka 1988 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-1.
Michael Kidilu amekuja Simba msimu wa 1987 akitokea Tukuyu stars akiwa pamoja na kiungo wa chini Aston Pardon.Halafu kulikuwa na beki wa kushoto wa Simba anaitwa Michael Kidilu kutoka Igoma (Dar es Salaam Ndogo) kwa walima viazi chips alikuwa wamoto ni balaa.
Safi sana broThose were the days when football was football, The Man from Lyenje Ikuti, Olafu Mwamlima alifuata nyayo za huyu Bro nikiwa katoto enzi hizo sijaanza hata primary, nikiwa na wazazi kiwira magereza afande mtoto wa afande. Asante kwa uhai Mungu.
Kumbukumbu mujarab kabisaMichael Kidilu amekuja Simba msimu wa 1987 akitokea Tukuyu stars akiwa pamoja na kiungo wa chini Aston Pardon.
Hata hivyo Kidilu alipata tabu sana kumiliki beki ya kushoto, maana Twaha Hamidu alitawala vilivyo upande huo.
Msimu huu Simba ilikuwa na kikosi kikali, ingawa hujuma za baadhi ya matajiri wa timu hiyo zimepelekea kunusurika kushuka daraja.
Uko sahihiLakini ahadi ya Kia si ilikuwa wakichukuwa kombe la CAF? Au mimi ndio nimesahau?
Kijana wa MkwandaLakini ahadi ya Kia si ilikuwa wakichukuwa kombe la CAF? Au mimi ndio nimesahau?
Kweli kabisa mkuu, karumekenge anafanana na nungunungu lakini hatokuwa nungunungu kamweVery disappointing answer
Walikua wanaishi huko. Walikua wakiishi nyumba moja then wakagawanyika kutafuta space zaidi kwa ajili ya uhitaji wa nafasi.Duu kuna kipindi late 1990s nilikuwa nawaona maeneo ya kurasini yeye na salum kabunda
Mashine kutoka Kapugi huko.
Anakaa Keko kwa Wanyakyusa wenzake!
Aswile hakai kekoAnakaa Keko kwa Wanyakyusa wenzake!
Mtoto wake naye ni mchezaji wa Ligi Kuu nadhani. Kuna Kipindi aliichezea DodomaMadereva....riziki popote ila Kabunda RIP.
Hapo ndipo Bolizozo wa Stella Abdijan alivyokuja kua maarufu hapa bongo.Simba wakatapeliwa KIA walizokuwa wameahidiwa wakaenda kupewa mikweche ya JABA
Yeah,Lakini ahadi ya Kia si ilikuwa wakichukuwa kombe la CAF? Au mimi ndio nimesahau?
Acheni porojo bwana, la sivyo tupe ushahidi. Simba walifungwa kihalali kabisa na Stella Abidjan kwani wachezaji wa Simba akina Rashid Abdallah, George Masatu, Dua Said, Edward Chumila na wengine walikuwa wameshikwa sana na kihoro na kupanik sana.Yeah,
Ilikua motisha au ahad hewa. Baada ya kuona inaenda kutimia mtoa ahadi ikabid afanye figisu tukose kombe ili asiingie gharama za KIA 30
Kweli kabisa.Acheni porojo bwana, la sivyo tupe ushahidi. Simba walifungwa kihalali kabisa na Stella Abidjan kwani wachezaji wa Simba akina Rashid Abdallah, George Masatu, Dua Said, Edward Chumila na wengine walikuwa wameshikwa sana na kihoro na kupanik sana.