Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Inawezekana wakati huo,inaweza kuwa imepita hata miaka,wakati huyo mumeo alipokutamkia kwa mara ya kwanza neno nakupenda uliwaza hivyo
'
Lakini leo mkiwa kwenye ndoa au mahusiano imara au mkipanga kufunga ndoa huenda umesahau,lakini leo nakukumbusha siku hiyo,unajisikiaje?
'
Vipi ulipokua unamzungusha?Unajionaje?Hebu kumbuka vile ulivyokua unataka kupishana na bahati,unatamani hata ujiadhibu?
'
Uliongozwa na mazoea kuwa wanaume ni waongo,huyo jamaa amekukosoa au siyo?
'
WALIOTENDWA
'
Unaikumbukaje siku jamaa alipokutamkia nakupenda?Ulijipa moyo kuwa aah huyu anaweza kuwa tofautiee,matokeo yamekua kinyume
'
Unajilaumu?Pole,
'
Unaweza kuchukia neno hilo lakini ipo siku utakuwa kwenye kundi la kwanza
'
Usiseme "huyu nae ni walewale",toa nafasi!
'
Lakini leo mkiwa kwenye ndoa au mahusiano imara au mkipanga kufunga ndoa huenda umesahau,lakini leo nakukumbusha siku hiyo,unajisikiaje?
'
Vipi ulipokua unamzungusha?Unajionaje?Hebu kumbuka vile ulivyokua unataka kupishana na bahati,unatamani hata ujiadhibu?
'
Uliongozwa na mazoea kuwa wanaume ni waongo,huyo jamaa amekukosoa au siyo?
'
WALIOTENDWA
'
Unaikumbukaje siku jamaa alipokutamkia nakupenda?Ulijipa moyo kuwa aah huyu anaweza kuwa tofautiee,matokeo yamekua kinyume
'
Unajilaumu?Pole,
'
Unaweza kuchukia neno hilo lakini ipo siku utakuwa kwenye kundi la kwanza
'
Usiseme "huyu nae ni walewale",toa nafasi!