The Monk Platinum Member Oct 12, 2012 19,254 42,873 Oct 4, 2017 #7 Hivi hwaja jamaa wanaomsingizia huyu mzee na kuweka picha yake wakifanya kwa mheshimiwa wetu si wataishia segerea?
Hivi hwaja jamaa wanaomsingizia huyu mzee na kuweka picha yake wakifanya kwa mheshimiwa wetu si wataishia segerea?
Ngatiani JF-Expert Member Apr 6, 2017 408 425 Oct 4, 2017 #8 Nimeangua kicheko! Samahani naomba kuuliza, hivi huyu mzee huwa anayaongea kweli haya maneno?
Manyawera JF-Expert Member Aug 16, 2017 567 1,103 Oct 4, 2017 #9 Ngatiani said: Nimeangua kicheko! Samahani naomba kuuliza, hivi huyu mzee huwa anayaongea kweli haya maneno? Click to expand... Wanampakazia tuu Komredi wetu
Ngatiani said: Nimeangua kicheko! Samahani naomba kuuliza, hivi huyu mzee huwa anayaongea kweli haya maneno? Click to expand... Wanampakazia tuu Komredi wetu