Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 10,229
- 18,307
Ohoo kumbeZipo nyingi tu
Ohoo kumbeZipo nyingi tu
Ndio pampers, ukimfunga khanga nani atafua? Sikuhizi mabinti ni wavivu sana, wengine wamebanana, wengine tips za mikono hawezi kufua mavi ya mtoto! Kila mara vinaharisha hivyo vitoto huo muda wa kuvifulia ndio haupo! Tupo busy maofisini na smart phone basi! Kwahiyo diaper inarahisisha sana ukimvalisha akishafanya yake unamtoa tu na kumfuta na wipes unaenda kutupa🚮 biashara imeisha!Diapers ndo pampasi 😂 na vipi ukimfunga kanga kama enzi zetu
Ahaaa sawaNdio pampers, ukimfunga khanga nani atafua? Sikuhizi mabinti ni wavivu sana, wengine wamebanana, wengine tips za mikono hawezi kufua mavi ya mtoto! Kila mara vinaharisha hivyo vitoto huo mida wa kuvifulia ndio haupo! Tupo busy maofisini na smart phone basi! Kwahiyo diaper inarahisisha sana ukimvalisha akishafanya yake unamtoa tu na kumfuta na wipes unaend akutupa🚮 biashara imeisha!
Ndio zipo dozen 20kkwa 25kSijajua, wanaozaa watakuwa wanajua! Japo naona nyumba nyingi ni diapers tu! Kila mtu mjanja siku hizi😆
Ndio zipo dozen 20kkwa 25kSijajua, wanaozaa watakuwa wanajua! Japo naona nyumba nyingi ni diapers tu! Kila mtu mjanja siku hizi😆
Ndio zipo dozen 20kkwa 25kSijajua, wanaozaa watakuwa wanajua! Japo naona nyumba nyingi ni diapers tu! Kila mtu mjanja siku hizi😆
Uko vzr dear, sikuhizi ni nadra sana kuona mtu anaanika napies kwakweli!Ndio zipo dozen 20kkwa 25k
Mi kila mtoto lazima niwe nazo
duuh ni mda sasa, huenda akawa na wajukuu sasa