Huyu mzee ananitakia mema kweli?

Huyu mzee ananitakia mema kweli?

Kama Mali lazima akatae. Sasa mali ya nini yeye.
 
Nenda sehemu nyingine kama huridhiki na hiyo hali ya kuoa bila kutoa mahari
 
Tatizo ni wewe. unajipelekea mahari tu kukuru kukuru! hata hujaambiwa upeleke kitu gani. Hata mimi ningekataa
 
Hivi utaratibu wa kutoa mahari ndio hivi!!! unajibebea tu unapeleka kabla hata ya posa alafu ikikubaliwa ndio unapangiwa mahari! au mimi ndio sijui.
Huo utaratibu haupo...lazima ufate taratibu....
 
Wanaume wengi wakimlipia binti mahari wanayafanya kama nira shingoni mwa familia ya binti, kwakuwa thamani ya binadamu sio mahari iwe ya mali au pesa, basi Mzee ametenda haki, ukaishi na bint kwa amani na upendo, biashara ya kuuziana binadamu hakuna siku hizi. Natamani wazazi wote wangeiga mfano huu.
 
Back
Top Bottom