Huyu mwanaume simuelewi

Huyu mwanaume simuelewi

Tuttyfruity

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2017
Posts
2,414
Reaction score
6,389
Niaje wadau. Long time. Mimi mzima kabisa. Mengi yamebadilika since last time I posted here. Anyways tuende direct kwenye mada.

Wiki chache zilizopita nilikutana na mkaka hivi mitaa ya kwetu. He's TALL DARK BALD HAS A BEARD yani in short he's my type. Nilikua natoka jogging nimechoka nikamkuta kapaki mbele ya geti letu ikabidi nimuulize anamsubiri nani pale akanitajia jina la mtu simjui so I had to tell him huyo mtu haishi hapo. Sasa kama ilivyo ada mkikutana na pisi kali lazma muombe namba chalii akaomba buana mm sina hiyana likija kwenye suala la kutoa digits.

Tumechat tumeonana dates za hapa na pale. Juzi dada ake kanialika dinner nikaenda kula msosi ni mtu poa we had chemistry. Wapo wawili tu wazazi wao walishafariki kitambo.

Sasa tatizo nililolileta kwenu huyu chalii ndani ya wiki zote 4 dates zote kaspend pesa nyingi hajawahi hata kunishika mkono achilia mbali kunikiss. I'm trying to go with the flow lakini ustaarabu karibu unanishinda.

Hivi wadau huyu mtu ni muoga, hajavutiwa na mimi au sio riziki? nashindwa kumuelewa kabisa. Ukizingatia sisi sio under 18.

Mnanishauri nifanye nini should I make the first move au niwe cool?

Anyways atakaeniita mzinifu nampiga. Comment za kijumbe sitaki.

Asubuhi njema Watanzania wenzangu.
 
Hivi nyie akina dada mnataka nini mbona hamweleweki? Angekuomba mzigo siku ya pili tu bado ungekuja kuomba ushauri... Sasa cha kufanya mpeleke hotel ukaanze wewe hapo ndo utapata mawazo yako binafsi nini ufanye.
 
Nyie wadada Mkiitwa gheto siku tatu baada ya kukutana mnasema sio vizuri, ni mapema sana, tuna tamaa ya papuchi, blah blah, tunataka tugegede tu hlf tuwaache, haya mkaka wa watu kawa mtaratibu una sema sio riziki

Nakushauri u-make the first move, mwambie unataka upaone kwake, mengineyo ya kufanya unayajua Tuttyfruity
 
Hataki kuona kama unamlipa kwa ukarimu anaokutendea. Shukuru umempata mstaarabu na kuwa tayari kwa urafiki wa aina yoyote ie. wa kimapenzi au ule wa kawaida.

Ukiona unahitaji sana kufanyia kazi hisia zako basi mtoe out wewe
 
Nyie wadada Mkiitwa gheto siku tatu baada ya kukutana mnasema sio vizuri, ni mapema sana, tuna tamaa ya papuchi, blah blah, tunataka tugegede tu hlf tuwaache, haya mkaka wa watu kawa mtaratibu una sema sio riziki

Nakushauri u-make the first move, mwambie unataka upaone kwake, mengineyo ya kufanya unayajua Tuttyfruity

Raha ya mwanaume hata anivute vute alafu niwe nakataa sasa huyu zero. Story tu
 
Translation

Mwanaume kama unajijua ni mweusi,mrefu,una upara(ule wa kunyoa lakini,sio uwaraza) bila kusahau uwe na ndevu jiongeze hapo for them digits

Kipau(o)mbele kitatolewa kwa atakayeomba mchezo mapema zaidi

Tuttyfruity ningekuwa mie ningeendelea kumsubiri nione atamalizaje na mimi,kama aliomba namba huko kwengine ni suala la muda tu....kuwa mvumilivu
 
Shida kubwa ni moja, wadada mnajua kuigiza sana siku za mwanzo za date, huenda unavojiweka kahisi we ni wife matirio hivo hataki kurupuka juu yako, sasa kwa kua kuigiza huchosha ndo maana ushaanza mfikiria vibaya.

Wanaume tupo hivi mwanamke tunaemtamani ndo hua tunamshobokea haraka bt tunaempenda hua hatuna haraka maana hua tunahofia kumpoteza, huyo jamaa ni rijali tena siku akikugegeda utaleta hapa mrejesho.
 
Raha ya mwanaume hata anivute vute alafu niwe nakataa sasa huyu zero. Story tu

Aisee kweli kuna watu ? me ningekuwa nishakushika shika mashavu na labda ningeshakurukia, inaezakuwa hana shida ana hofu tu. Alafu kitu kingine hela alizotumia na kitu unataka afanye they dont correlate hata kidogo mkuu, ni vile tu jamii inavyoyachukulia mambo.
 
Bora ya wewe unaweka wazi kabisa kuwa mgegedo ni muhimu. Ila tumia maujanjanya kike bana mpaka jamaa apagawe rahisi kabisa nendeni dancing shake that booty utaufeel tuu mgegedo wake brush against u.
Dancing is the vertical expression of the horizontal desire😜
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom