Huyu mwanaume mbona hanidhuru


thanx kwa ushauri wako, yani unajua nimechanganyikiwa live..
 
Nisamehe sana kwa lugha hizo kali nlizotumia, yani unajua wakati naandika nlikua nina hasira hadi mikono ilikua inatetemeka, sura nimeikunja, mdomo nimeuvuta, yani nlikua naandika huku nasonya tuu, ujue hadi kichwa kikawa kinauma. Nitafanya kama ulivyo nishauri
 
Uko wapi wewe!yaani hata mie wife kafunga vioo wiki sasa!hebu tutafutane basi! Lakini cheki kwanza kama hajaweka kinasio

KInasio dawa yake ndogo tu mbona..wakati unaduu..weka pilipili kichaa kwenye ...halafu nyingine weka machoni..basi weee hata ikiwaje dawa haishiki hapo..
 
i wud be very happy to help!
 

weee nilijaribu kufanya hilo jaribio usiku wa manane, nikamtaimu nikaanza kumfanyia vimambo mambo jamaa huko uvunguni akawa keshakubali, ile nataka nidandie, lahaula nkaskia mtu kaamka eti ananiuliza UNATAKAJE?basi nguvu ziliniisha hapo hapo, wacha nione aibu.
 

unisamehe tuu ndugu yangu, kuchanganyikiwa huko. Nawaomba radhi wote ambao nimewakwaza kwa comment yangu
 
Pole sana , , ,hapo kuna tatizo la kiemotional. . . .
Hebu leo akirudi akukute umepiga soap soap ,umejifukiza/pulizia marashi ,ndani ya kanga moko ndembendembe full kujipitisha upo busy kama humuoni na zaidi kuwa busy na simu unawasiliana na mashosti wako . . . .asipokuona basi ujue kuna tatizo zaidi la msingi. Fanya udadisi.
 
nendiwekilasa
hebu relax kwanza my dear!
haya mambo wala hayataki hasira
mwanamke akiwa na hasira havutii unajua!and wat yu need is to make ur man see yu sexy right,so that he can make a move
hebu tuliza moyo kwanza!
 
Last edited by a moderator:

unajui inauma sana mtu unamdai kabisa alafu yeye anajidai hana habari, jana usiku wee hamu yote iliniisha, nikaogopa asijeenda polisi bure kushtaki nataka kum-baka
 

uncle watu8 kwani umeshapona?
mh!mi nilikuwa nakutegemea hapa by jumamosi hivi!ur too gonjwa for this makitu ,dah!
kweli thermometer yetu ile kiboko!yani umepona fasta sana !lol
 
Last edited by a moderator:
ngoja nikuulize baada ya kudhuria huwa unafanya nn? mana yawezekana anaogopa kukudhuru asije akajisikia vibaya
 

hahaaa.. basi ngoja leo jioni akirudi atanikuta na hilo poz i hope lazima limtoe nyoka pangoni tena huku anapiga vigelegele
 
pole dada punguza hasira
hasira hasara......
unavyozidi kukasirika utajipa maamuzi mabaya ukajajutia baadae
jitahidi kumliwaza/kuwa naye karibu fanya yale uanyojua anapenda
hata kama kuna mtu anajaribu kuchukua nafasi abadilike na kujitambua amekosea
 
Unamshtua mwanaume wakati umevaa jinsi utasubiri sana.Manake nyie wanawake wasiku juzi balaa.Kama anaendelea kutokuelewa njoo bibie nikupe joto la miezi kadhaa
 
Sheria za Tanzania mwanamme habakwi
Anashawishiwa tu, na wwe kama mkewe huwezi kumfanyia shambulio la aibu

unajui inauma sana mtu unamdai kabisa alafu yeye anajidai hana habari, jana usiku wee hamu yote iliniisha, nikaogopa asijeenda polisi bure kushtaki nataka kum-baka
 

hahaha sasa umejaribu kuvaa khanga moko aalafu papuchi imeshalowa ukamuonyesha inavyomeremeta? akikataa hapo basi umeshabwagwa lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…