Nina mwanaume tumekaa mwaka wa 5 huu na sasa nina ujauzito miezi mitatu.
Tatizo lake amekuwa akinisaliti kila mara ana wanawake kama 6 hivi tofauti na kibaya zaidi anataka tuanze kuishi wote sababu home pia wamekubali.
Mwaka jana ndio ametoa mahari hivyo sasa anataka tukae pamoja tulee pamoja.
Tatizo nawaza je hivi na yote machafu ya kuwa na wanawake wengi pembeni nikikaa nae ndio atatulia kulea mimba au ni bora kukomaa kuishi kwetu na wazazi wangu?
Tatizo lake amekuwa akinisaliti kila mara ana wanawake kama 6 hivi tofauti na kibaya zaidi anataka tuanze kuishi wote sababu home pia wamekubali.
Mwaka jana ndio ametoa mahari hivyo sasa anataka tukae pamoja tulee pamoja.
Tatizo nawaza je hivi na yote machafu ya kuwa na wanawake wengi pembeni nikikaa nae ndio atatulia kulea mimba au ni bora kukomaa kuishi kwetu na wazazi wangu?