Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,202
- 99,941
Hahahaha Grace kwa kiswahili ndio Neema???Mkuu achana nae, tena kina girethi mmhh
Hahahaha Grace kwa kiswahili ndio Neema???Mkuu achana nae, tena kina girethi mmhh
Hahahaha pole sana nimekuelewa sanaMkuu achana nae, tena kina girethi mmhh
Yaapp mkuuHahahaha Grace kwa kiswahili ndio Neema???
Pole sanaYaapp mkuu
Nawapenda sana hao watoto wa kinyantuzu maana hata mimi ni mnyantuzu ila huku niliko nawatoa wapi! Mpk nirudi home mkuuKaoe Ntuzu Mzee baba Kuna watoto wa kinyantuzu wametulia Sana, vinginevyo Kama huna ng'ombe.
Sent using Jamii Forums mobile app

Zamani nilikuwa baharia mzuri tuu lakini kwa sasa nimetulia kabisa mpk najishangaa na nahitaji yawe ndo maisha yanguHuyo mwanamke unayaelewa matendo yake vizuri tu, ila akili yako haitaki kukubali ukweli kuwa huyo mwanamke hakupendi na hakutaki
Hlf inaonekana hutongozi wadada wengi, hata kama unatongoza, bhas wote unaowatongoza wanakukataa Last KING Ontuzu
Yaweza kuwa ivo mkuu maana hasomeki na hapendi kusomwaMke wa mtu huyo
Sent From Galaxy S20 Ultra
Naona dalili kbs za kupotezewa muda ila eti najipa moyoAnakupotezea muda,kwa ishara tu huyo hana sifa ya kuitwa mke mtumie kama mlupo tu. Andaa tour ya kutafuta mke nchi nzima, utafanikiwa.

Hahahahaaa unichekesha sanaMwambie kuna mwanakwaya anakutongoza na yuko tayari kukuzalia mapacha 6.
Hahahahaaa unichekesha sana
Huyo mwanakwaya sio mchezo aisee kasie
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu nachingwea .au ruangwa naimani na si kwingineBora nikimpata huyo mmakonde maana nipo na watu wa kabila la Wamwera hawa shida yao ni kudumu kwenye ndoa ni mtihani yaani wao kuoa na kuachana then kugawana ndo maisha yao ,mimi hii sihitaji ndoa za namna hii
Ila hawana gharama yaani wewe ukiwa na elfu hamsini ya posa unaoa hutadaiwa mahari imeisha hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
nafikiri atakuwa mdogo wa Grace!How old are you?