Huyu mwanamke simwelewi

nimechafukwa

JF-Expert Member
Oct 2, 2013
287
227
Nimeajiriwa kwenye kampuni moja yapata mwaka sasa..kuna binti mmoja nilitokea kumpenda sana ila nikawa naogopa kumwambia kwani binti mambo safi ni mtu anajiweza anamiliki harrier lexus..sasa kuna siku nimechelewa kutoka ofisini wakati natoka nikasikia akipiga story na mwenzake akimwambia jinsi gani ananikubali alienda mbali zaidi na kunisifia kuwa hajawahi kumwona kk handsome kama mm(wakati akiongea maneno haya hakuniona) basi kidume nikapata ujasiri wa kumtongoza..mpka napoandika hii message yapata mwaka sasa huyu dada hajanikubalia ananionyesha matumaini tu ila sijawahi kukubaliwa....sijui nafanyaje jamani
 
Kwa wenzetu mambo safi kusema i love you dady au mom ni kitu cha kawaida sana ila kwa cc wa ushwahilini ni tofauti mtu akisema anakupenda anakuwa na maana moja tu kimapenzi sasa bhasi huyo demu anakupenda ila hana hisia na ww hisia ndo zinatofautisha upendo kti ya baba ,mama na mpenzi au mume
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom