Huyu mwanamke simleti Tena geto.

Huyu mwanamke simleti Tena geto.

mzee wa kasumba

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
1,440
Reaction score
2,963
Mwanamke ana kashfa utadhani baba yake ni MO.?

Alipofika tu ndani, chakwanza anauliza..
Hivi hii nyumba mwenye nyumba mnakaa nae au hayupo? Mbona nyumba mbaya hivi??

Amekwenda chooni aliporudi.
"Mbona choo kichafu namna hi, mnaishi VIP humu"

Alipo kaa kitandani
"Halafu wewe mchafu, mbona hata ndani hufagii?

Nilipowasha tv
"Hi tv nchi ngapi? Ni nzuri lakini kung'amuzi hiki mie sikipendagi hakina tamthilia nzuri"

Aggggggghhhhhh
Akaendelea kuuliza maswali mpaka nikatamani kumruhusu arudi tu huko kwao alikotoka.

Lakini nikafanya lililomleta, baada ya hapo nikamruhusu aende.

Lakini simtaki Tena geto kwangu.

NB.
Katika kumuuliza uliza nikagundua kuwa nae yumo humu JF. Sasa dada ukisoma uzi huu ujue Ni wewe.

Na Mimi ujue ndie mzee wa kasumba, Kama ulikua hujui..

Blalful

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke ana kashfa utadhani baba yake ni MO.?

Alipofika tu ndani, chakwanza anauliza..
Hivi hii nyumba mwenye nyumba mnakaa nae au hayupo? Mbona nyumba mbaya hivi??

Amekwenda chooni aliporudi.
"Mbona choo kichafu namna hi, mnaishi VIP humu"

Alipo kaa kitandani
"Halafu wewe mchafu, mbona hata ndani hufagii?

Nilipowasha tv
"Hi tv nchi ngapi? Ni nzuri lakini kung'amuzi hiki mie sikipendagi hakina tamthilia nzuri"

Aggggggghhhhhh
Akaendelea kuuliza maswali mpaka nikatamani kumruhusu arudi tu huko kwao alikotoka.

Lakini nikafanya lililomleta, baada ya hapo nikamruhusu aende.

Lakini simtaki Tena geto kwangu.

NB.
Katika kumuuliza uliza nikagundua kuwa nae yumo humu JF. Sasa dada ukisoma uzi huu ujue Ni wewe.

Na Mimi ujue ndie mzee wa kasumba, Kama ulikua hujui..

Blalful

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia alichokwambia kama changamoto uwe Bora zaidi.
 
safi sana kijana ila hujamalizia malalamiko yake baada ya kumpatia kilichomleta hakuleta malalamiko mengine kama ya mwanzo? hayo ndiyo muhimu kuliko vyote kama yapo tuambie kama hakulalamika endelea kumleta geto kula mzigo kama kawaida hayo malalamiko hayakuhusu
 
Mwanamke ana kashfa utadhani baba yake ni MO.?

Alipofika tu ndani, chakwanza anauliza..
Hivi hii nyumba mwenye nyumba mnakaa nae au hayupo? Mbona nyumba mbaya hivi??

Amekwenda chooni aliporudi.
"Mbona choo kichafu namna hi, mnaishi VIP humu"

Alipo kaa kitandani
"Halafu wewe mchafu, mbona hata ndani hufagii?

Nilipowasha tv
"Hi tv nchi ngapi? Ni nzuri lakini kung'amuzi hiki mie sikipendagi hakina tamthilia nzuri"

Aggggggghhhhhh
Akaendelea kuuliza maswali mpaka nikatamani kumruhusu arudi tu huko kwao alikotoka.

Lakini nikafanya lililomleta, baada ya hapo nikamruhusu aende.

Lakini simtaki Tena geto kwangu.

NB.
Katika kumuuliza uliza nikagundua kuwa nae yumo humu JF. Sasa dada ukisoma uzi huu ujue Ni wewe.

Na Mimi ujue ndie mzee wa kasumba, Kama ulikua hujui..

Blalful

Sent using Jamii Forums mobile app
Namuomba hyo aisee, nikiwa gheto Mimi mwenyewe najikosoa Sana
 
Muulize ameshakupenda ili muendelee au ndo amegaili?

Ubora wa nyumba isiwe tatizo ila suala la usafi wa getho na wako binafsi unatakiwa ubadilike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom