mgogoone
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 2,900
- 2,100
Mmhhh...kesho uwahi Milembe! Akili yako haiko sawa wallahi. Kuna post yako humu unadai mchepuko kaenda kumdai mkeo hela ya matumizi, ndo huyo? Nyingine umedai bosi wako anamgegeda "mchumba" wako mwingine,
Mwakani tutarajie upost baba mkwe anamlala mkeo,
Any way matokeo ya NECTA yatoke tu ukamate "0" maana hata kumbukumbu ya mtiririko wa matukio huna! Pumbavu!
JF bhana mpaka raha.JF ooooooyeeeeee