Huyu mwanamke ni mfanye nini?

Huyu mwanamke ni mfanye nini?

Mmhhh...kesho uwahi Milembe! Akili yako haiko sawa wallahi. Kuna post yako humu unadai mchepuko kaenda kumdai mkeo hela ya matumizi, ndo huyo? Nyingine umedai bosi wako anamgegeda "mchumba" wako mwingine,
Mwakani tutarajie upost baba mkwe anamlala mkeo,
Any way matokeo ya NECTA yatoke tu ukamate "0" maana hata kumbukumbu ya mtiririko wa matukio huna! Pumbavu!

JF bhana mpaka raha.JF ooooooyeeeeee
 
[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenAkiwaHai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
 
Chukua vipodozi vyake,chupi,kama ana wigi bangili,Shanga kama anatumia Bikini vyote piga moto! ukimaliza mpe kadi ya mwaliko wa harusi ya mke mwenza fullstop.....Tena mwambie harusi kesho asubuhi!
 
Tehe Tehe labda ni mmoja kati ya wanne.

Ila na nyie mmezidi, mtu anakufulia, anakupikia, afu bado Una mawazo ya kuchepuka!

Hahaaaa huyo dada wa jirani siku nyingine atakoma kuwa na 'maongezi' na Waume za watu!lol

Mkuu kubali huko ndiko ulikokua unaelekea
 
Mmhhh...kesho uwahi Milembe! Akili yako haiko sawa wallahi. Kuna post yako humu unadai mchepuko kaenda kumdai mkeo hela ya matumizi, ndo huyo? Nyingine umedai bosi wako anamgegeda "mchumba" wako mwingine,
Mwakani tutarajie upost baba mkwe anamlala mkeo,
Any way matokeo ya NECTA yatoke tu ukamate "0" maana hata kumbukumbu ya mtiririko wa matukio huna! Pumbavu!

Hawa vijana wa Ndalichako hawa kichwan iki shida.Wewe Mr mgeni hebu jarib kwa Shigongo kuomba kibarua, inaelekea utakuwa mtunzi mzuri wa stori
 
nimeipenda hiyo, ukalala zako unasubiri asubuhi umpeleke kumpima akili, upo sahihi.
 
Mkuu dawa Acha nyumba ikae hivyo hivyo hata kwa mwaka .. we hata wage ni wakitaka kuja wakaribishe kwa roho safi uone
 
Yaani mkaushie kwa mwezi mzima, ukiamka oga zako nenda kazini na urudi jioni. Mpe displine kuwa kama bubu don't ask or question anything for sometimes. Don't buy anything distroyed
 
Hajitambui huyo au amekuonamo wewe, kwanza ana elimu gani? Tupa kule oa mwingine
 
Daah! Pole sana mkuu. Your wife has completely destroyed the only few assets that you owned... Cha kufanya usinunue tena Tv nyingine wala masofa... Wacha aisome namba weee...
Wivu kitu kibaya sana; hasa wivu wa mapenzi...
 
Back
Top Bottom