Huyu mwanamke ni mfanye nini?

Huyu mwanamke ni mfanye nini?

Duuu....atakua na shida ya akili! Sio mzima kabisa, sio mke. Atakua hana shughuri ya kufanya(hayuko busy)
 
Kanikuta barabarani nimesimama na binti flani jirani wa mtaa wa pili nikimuuliza habari flani muhimu.

Gafla wife katokea hakuuliza wala nini,kaanza kuleta vurumai yule binti bahati nzuri kapenya kakimbia,nimsihi sana subiri nikueleze hakutaka kunielewa akageuka nyumbani mda huhuo kaniambia nitaona!!nilimpuuza nikaendelea na mambo yangu mengine.

Niliporudi jioni sikuamini nilichokiona,kapasua TV,kavunja meza kachomachoma sofa na kisu jikoni huko ndo kavunja vyombo kama kichaa.

sikumuuliza wala sikumfanya chochoteni nimeoga nimelala hapa nasubiri pakuche nimpele hospitali nikampime akili kwanza .

Naombeni mawazo endapo akiwa ni timamu nimfanye nini?

Kama ameweza kuleta madhara makubwa kiasi hicho kwa jambo dogo kama hilo na lisilokuwa hata na udhibitsho, siku akikukuta na kidhibisho anaweza hata kuchoma nyumba au akuangamize wewe kabisa. Hilo sio jambo la kufanyia mzaha hata kidogo.
 
Huyo anafaa kurud kwao na kibano juuu
 
Kanikuta barabarani nimesimama na binti flani jirani wa mtaa wa pili nikimuuliza habari flani muhimu.

Gafla wife katokea hakuuliza wala nini,kaanza kuleta vurumai yule binti bahati nzuri kapenya kakimbia,nimsihi sana subiri nikueleze hakutaka kunielewa akageuka nyumbani mda huhuo kaniambia nitaona!!nilimpuuza nikaendelea na mambo yangu mengine.

Niliporudi jioni sikuamini nilichokiona,kapasua TV,kavunja meza kachomachoma sofa na kisu jikoni huko ndo kavunja vyombo kama kichaa.

sikumuuliza wala sikumfanya chochoteni nimeoga nimelala hapa nasubiri pakuche nimpele hospitali nikampime akili kwanza .

Naombeni mawazo endapo akiwa ni timamu nimfanye nini?
Mna watoto wangapi? na ndoa yenu ina mda gani?
 
Huyo anaweza kukukata dushe usiju ukiwa umelala,kuwa makini.
 
Usimuluze chochote wala kumsemesha kuhusu ilo tukio ww endelea na Maisha yako huku ukijipanga Kimya kimya bila yeye kujua,
 
Huyo atakuw anautoto halafu anaakili ya malipizi kwa hiyo kuw mwangalifu anaweza akakutoboa toboa hata wew na safari yako ikome mapema. Be careful
 
Kanikuta barabarani nimesimama na binti flani jirani wa mtaa wa pili nikimuuliza habari flani muhimu.

Gafla wife katokea hakuuliza wala nini,kaanza kuleta vurumai yule binti bahati nzuri kapenya kakimbia,nimsihi sana subiri nikueleze hakutaka kunielewa akageuka nyumbani mda huhuo kaniambia nitaona!!nilimpuuza nikaendelea na mambo yangu mengine.

Niliporudi jioni sikuamini nilichokiona,kapasua TV,kavunja meza kachomachoma sofa na kisu jikoni huko ndo kavunja vyombo kama kichaa.

sikumuuliza wala sikumfanya chochoteni nimeoga nimelala hapa nasubiri pakuche nimpele hospitali nikampime akili kwanza .

Naombeni mawazo endapo akiwa ni timamu nimfanye nini?
Anza upya.. Kuanza upya sio ujinga
 
Alikuwa kwenye HEAT PERIOD! HUYO SIO KOSA LAKE, HUWA MNAKUTANA MARA NGAPI KWA JUMA? TUANZIE HAPO....
 
Kanikuta barabarani nimesimama na binti flani jirani wa mtaa wa pili nikimuuliza habari flani muhimu.

Gafla wife katokea hakuuliza wala nini,kaanza kuleta vurumai yule binti bahati nzuri kapenya kakimbia,nimsihi sana subiri nikueleze hakutaka kunielewa akageuka nyumbani mda huhuo kaniambia nitaona!!nilimpuuza nikaendelea na mambo yangu mengine.

Niliporudi jioni sikuamini nilichokiona,kapasua TV,kavunja meza kachomachoma sofa na kisu jikoni huko ndo kavunja vyombo kama kichaa.

sikumuuliza wala sikumfanya chochoteni nimeoga nimelala hapa nasubiri pakuche nimpele hospitali nikampime akili kwanza .

Naombeni mawazo endapo akiwa ni timamu nimfanye nini?
Hahaha
 
Back
Top Bottom