mensaah
JF-Expert Member
- Sep 12, 2016
- 927
- 1,311
Hivo watu wengine Akil zao huwa ziko sawa kwel? Maana unakuta alishaletwa post kadhaa previous then anakuja na post mpya ambayo ukilinganisha matukio hayaendan sasa nashindwa kuelewa hiz habari huwa za kwel ama mtu akiziona kwa jiran au kusimuliwa then analeta mada kama yeye ndio muhusika. UPUMBAVU TYPEMmhhh...kesho uwahi Milembe! Akili yako haiko sawa wallahi. Kuna post yako humu unadai mchepuko kaenda kumdai mkeo hela ya matumizi, ndo huyo? Nyingine umedai bosi wako anamgegeda "mchumba" wako mwingine,
Mwakani tutarajie upost baba mkwe anamlala mkeo,
Any way matokeo ya NECTA yatoke tu ukamate "0" maana hata kumbukumbu ya mtiririko wa matukio huna! Pumbavu!