Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,851
Mrudishe kwao kwa usalama zaidi,usije kumdhuru ikawa kesi.
Upo ya ngapi kiongozi? nikuongeze nyingine?We mrembo unachekelea mambo ya hatari?,je yakikukuta na wewe?,kumbuka haya ni maisha tu au vipi?, iko siku na wewe utakuja humu chupi mkononi tayari umetendwa je utachekaaaaaa tena?.
Yaaani nimehisi unamjua, yah kusema ukweli anafaidi na kanenepa mpaka basi yaani, itakua ngumu kukupm maana cna cha zaidi ninachotaka, utanisamehe kwa hiloKuna watu mnapendeza hapa dunuani,nashindwa hata kujieleza jamani,huyo uliomchunuku hakika anafaidi mpaka ananenepa bila kujijua au vipi?,hebu uni PM nikujulie hali mamii.
Kanikuta barabarani nimesimama na binti flani jirani wa mtaa wa pili nikimuuliza habari flani muhimu.
Gafla wife katokea hakuuliza wala nini,kaanza kuleta vurumai yule binti bahati nzuri kapenya kakimbia,nimsihi sana subiri nikueleze hakutaka kunielewa akageuka nyumbani mda huhuo kaniambia nitaona!!nilimpuuza nikaendelea na mambo yangu mengine.
Niliporudi jioni sikuamini nilichokiona,kapasua TV,kavunja meza kachomachoma sofa na kisu jikoni huko ndo kavunja vyombo kama kichaa.
sikumuuliza wala sikumfanya chochoteni nimeoga nimelala hapa nasubiri pakuche nimpele hospitali nikampime akili kwanza .
Naombeni mawazo endapo akiwa ni timamu nimfanye nini?
Mgegedo wa jamaa mkali ndio umemtia wazimu....haaaaaah haaaah!!Kumkichwa yupo timamu?,kabla ya kumuoa hakukua na viashiria vyovyote vya ukichaa?...Pole mkuu.
Ondosha nyaraka zako muhimu ndani ya nyumba hiyo, tafuta pahala kazihifadhi, atachoma nyumba huyo mkeo!...ushauri: punguza mgegedo, mkune kiduchu tu, usimkune sana! huoni umemtia uchizi sasa?!!! 😛😛😛😛Kanikuta barabarani nimesimama na binti flani jirani wa mtaa wa pili nikimuuliza habari flani muhimu.
Gafla wife katokea hakuuliza wala nini,kaanza kuleta vurumai yule binti bahati nzuri kapenya kakimbia,nimsihi sana subiri nikueleze hakutaka kunielewa akageuka nyumbani mda huhuo kaniambia nitaona!!nilimpuuza nikaendelea na mambo yangu mengine.
Niliporudi jioni sikuamini nilichokiona,kapasua TV,kavunja meza kachomachoma sofa na kisu jikoni huko ndo kavunja vyombo kama kichaa.
sikumuuliza wala sikumfanya chochoteni nimeoga nimelala hapa nasubiri pakuche nimpele hospitali nikampime akili kwanza .
Naombeni mawazo endapo akiwa ni timamu nimfanye nini?
Nilikunywa dengelua mrembo,ila tu lazima niseme ya moyoni,yaani unapendeza mpaka nasisimka.Upo ya ngapi kiongozi? nikuongeze nyingine?
Basi sawa,ila siku ukimpiga chini usishau kuni PM.Yaaani nimehisi unamjua, yah kusema ukweli anafaidi na kanenepa mpaka basi yaani, itakua ngumu kukupm maana cna cha zaidi ninachotaka, utanisamehe kwa hilo
Kiongozi hakikisha umepiga picha huo uharibifu alofanya!ukishampima akili whether mzima au ni kicha achana nae atakuja kukuua usingizini huyo!Kanikuta barabarani nimesimama na binti flani jirani wa mtaa wa pili nikimuuliza habari flani muhimu.
Gafla wife katokea hakuuliza wala nini,kaanza kuleta vurumai yule binti bahati nzuri kapenya kakimbia,nimsihi sana subiri nikueleze hakutaka kunielewa akageuka nyumbani mda huhuo kaniambia nitaona!!nilimpuuza nikaendelea na mambo yangu mengine.
Niliporudi jioni sikuamini nilichokiona,kapasua TV,kavunja meza kachomachoma sofa na kisu jikoni huko ndo kavunja vyombo kama kichaa.
sikumuuliza wala sikumfanya chochoteni nimeoga nimelala hapa nasubiri pakuche nimpele hospitali nikampime akili kwanza .
Naombeni mawazo endapo akiwa ni timamu nimfanye nini?
Uyo ashakuwa jipu hvyo mpeleke kwa sizonje akatumbuliweKanikuta barabarani nimesimama na binti flani jirani wa mtaa wa pili nikimuuliza habari flani muhimu.
Gafla wife katokea hakuuliza wala nini,kaanza kuleta vurumai yule binti bahati nzuri kapenya kakimbia,nimsihi sana subiri nikueleze hakutaka kunielewa akageuka nyumbani mda huhuo kaniambia nitaona!!nilimpuuza nikaendelea na mambo yangu mengine.
Niliporudi jioni sikuamini nilichokiona,kapasua TV,kavunja meza kachomachoma sofa na kisu jikoni huko ndo kavunja vyombo kama kichaa.
sikumuuliza wala sikumfanya chochoteni nimeoga nimelala hapa nasubiri pakuche nimpele hospitali nikampime akili kwanza .
Naombeni mawazo endapo akiwa ni timamu nimfanye nini?
mrembo vipi yule jamaa alokuacha ameshakurejea au naweza kutake placeAkiwa timamu mtafutie mke mwenza
Kanikuta barabarani nimesimama na binti flani jirani wa mtaa wa pili nikimuuliza habari flani muhimu.
Gafla wife katokea hakuuliza wala nini,kaanza kuleta vurumai yule binti bahati nzuri kapenya kakimbia,nimsihi sana subiri nikueleze hakutaka kunielewa akageuka nyumbani mda huhuo kaniambia nitaona!!nilimpuuza nikaendelea na mambo yangu mengine.
Niliporudi jioni sikuamini nilichokiona,kapasua TV,kavunja meza kachomachoma sofa na kisu jikoni huko ndo kavunja vyombo kama kichaa.
sikumuuliza wala sikumfanya chochoteni nimeoga nimelala hapa nasubiri pakuche nimpele hospitali nikampime akili kwanza .
Naombeni mawazo endapo akiwa ni timamu nimfanye nini?