Huyu mwanamke ni mfanye nini?

Huyu mwanamke ni mfanye nini?

Mr mgeni

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
1,222
Reaction score
810
Kanikuta barabarani nimesimama na binti flani jirani wa mtaa wa pili nikimuuliza habari flani muhimu.

Gafla wife katokea hakuuliza wala nini,kaanza kuleta vurumai yule binti bahati nzuri kapenya kakimbia,nimsihi sana subiri nikueleze hakutaka kunielewa akageuka nyumbani mda huhuo kaniambia nitaona!!nilimpuuza nikaendelea na mambo yangu mengine.

Niliporudi jioni sikuamini nilichokiona,kapasua TV,kavunja meza kachomachoma sofa na kisu jikoni huko ndo kavunja vyombo kama kichaa.

sikumuuliza wala sikumfanya chochoteni nimeoga nimelala hapa nasubiri pakuche nimpele hospitali nikampime akili kwanza .

Naombeni mawazo endapo akiwa ni timamu nimfanye nini?
 
Kumkichwa yupo timamu?,kabla ya kumuoa hakukua na viashiria vyovyote vya ukichaa?...Pole mkuu.
 
Kanikuta barabarani nimesimama na binti flani jirani wa mtaa wa pili nikimuuliza habari flani muhimu.Gafla wife katokea hakuuliza wala nini,kaanza kuleta vurumai yule binti bahati nzuri kapenya kakimbia,nimsihi sana subiri nikueleze hakutaka kunielewa akageuka nyumbani mda huhuo kaniambia nitaona!!nilimpuuza nikaendelea na mambo yangu mengine.Niliporudi jioni sikuamini nilichokiona,kapasua TV,kavunja meza kachomachoma sofa na kisu jikoni huko ndo kavunja vyombo kama kichaa.sikumuuliza wala sikumfanya chochote.Nimeoga nimelala hapa nasubiri pakuche nimpele hospitali nikampime akili kwanza .Naombeni mawazo endapo akiwa ni timamu nimfanye nini?
 
Akiwa timamu mtafutie mke mwenza
Joanah mrenbo kwa hiyo mimi nikitafuta mke mwenza wako wewe hutojali au?,basi ujue wewe ndio unanifaa sana wa Kikurya wewe au Mjita au vipi?,yaani utafaidi sana mautamu yangu baby.
 
hahahaaaaaaaaaaa
We mrembo unachekelea mambo ya hatari?,je yakikukuta na wewe?,kumbuka haya ni maisha tu au vipi?, iko siku na wewe utakuja humu chupi mkononi tayari umetendwa je utachekaaaaaa tena?.
 
Back
Top Bottom