Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,722
- 6,593
hayo ni masharti ya mganga wake ili umuoe,ukimuoa hutakiona tena hicho kichaka cha chini
Kanyoa toka mwezi wa kumi na mbili hadi leo?Huo sasa utakuwa msitu tena wa Congo.Hahifadhi chawa kweli?Hahaha kweli dunia ina mambo
Mwambie kama hataki asuke kabisa mkuu
hayo ni masharti ya mganga wake ili umuoe,ukimuoa hutakiona tena hicho kichaka cha chini
Labda ndio mila za kwao
mhhh labda atakuwa na sababu za msingi aisee..what i know kuna watu wanapenda kuacha nywele kidogo kistyl fulani ila cyo likichaka..endelea kumshauri kistaarabu ajisafishe
Umalaya utakuua mpumbavu na lofa mkubwa. leo siku ya ibada unawaza umalaya. Ulaaniwe
Hii ni tabia ya mademu weupe wachafu sana uzuri usoni tu ,mpe likizo ya mwezi au mpaka ashave ndo upige game
Mwanamke Anaejitambua Anagomaje Kufanya Mausafi?? Alafu Usimwambiege Anyoe Huko Chini, Pengne Hapo Akuelewagi!!! Chini Sakafuni Au Mchangani?? Sasa, Hiyo Inshu Sio Sabbu Ya Ww Kumuacha, Kiukwel Minywele Hiyo Ikiwa Chaka, Inaboa!! Kaa Nae Umueleze Umuhimu Wa Kunyoa, Asipoelewa Itabidi Uwe Nae Tuu Hivyo Hivyo, Maana Hakuna Namna Tena!! Ila La Msingi Awe Anafanya Mausafi Ya Maana Ikibidi Awe Anaweka Na Black Nn Sijui....Ile Zinakua Nyeusiiiii Awe Anapulizia Na Kapafyumu....Mambo Kma Hayo Ila Sio Umuache. Ikishindikana Yote...., Nipe Mimi Tuu Huyo Maana Hakuna Namna Tena Nawe Aupendi Chaka Kuvumilia Auwezi. Alafu Ww Ndio Unaemjua Vizur, Unaweza Angalia Ambapo Unaweza Mbana Mpka Akaacha Ufugaji, Muhimu Isije Kuwa Anayo Idea Ya Kufuga Rasta....!!!!
habari zenu waote jf
Nina mahusiano na mdada mmoja hiv ni mzuri na ni mdada anayejielewa ila sasa kinachonichanganya na kunipa maswali mengi yeye huwa hapendi kabisa kunyowa sehemu zake za siri kabisa yani mpaka unakuwa ugomvi ukimwambia kuwa nyowa huko chini.
Nakumbuka mara ya mwisho alinyowa mwezi wa kumi na mbili tena kwa kugombana sana na mimi ndiyo kanyowa
hiv mdada huyu anamanishaga nini? Au nini hasa sababu ya kugoma kunyowa ?
Naombeni msaada hata wa mawazo nimfanyeje? au niachane naye tuu ?
msaada jamani
Umalaya utakuua mpumbavu na lofa mkubwa. leo siku ya ibada unawaza umalaya. Ulaaniwe
Ndo walivyo hao warembo. Na mi wa kwangu nimempiga chini miongoni mwa sababu ni hizo. Lakini ni bonge la pini ila sasa usafi wa sehem nyeti ni balaa mpaka harufu. Kina dada jaman mnatia aibu. Mtu akikuona nae mnatoka anaona unafaidi kumbe upuuzi mtupu
Kumbe kunyoa ni umalaya? Sirudii naacha kuanzia leo!
Nishamuuliza akasema anapenda tuu kuyafuga