MBNA unanchukulia poa msee? Kama huna ushauri syo lazma uandike upmbav wako hapa sipo after money kama ulivyokariri am taking about relationship!
Habari wana MMU
Msishangae naandika nini hapa bado nipo kitandani najivuta kuamka nikatafute ulaji Lakini usiku wangu haukuwa mzuri kifupi kuna kijana mmoja ni mwanajeshi mzanzibar,nmefahamiana nae ni kama mwezi kiukweli nikwamba anadai ananipenda sana lakini nilimwambia nina mchumba anadai yupo tayari kwa lolote ili mradi nije kuwa mkewe.
Mwanzo sikuwa hata na mawazo naye ila siku mbili hizi nmejikuta nampenda sana hata usiku silali namuwaza hadi basi.
Anaonesha anajali kuliko mchumba Wangu
Hapa nipo njia panda
Nipeni mawazo yenu wakuu
Kutokana na mfululizo Wa thread unazoziletega...itakuwa unaumwa ugojwa Wa ANXIETY.. tafuta tiba
Ni aina ya Uchawi wa mapenzi...
Mkuu kwanini unatoa siri zetu wanaume hadharani hivi?
Kaka kuna mwanaume mwenzako anaenda kutendwa hapa...
As a responsible man, hii kitu inauma vibaya sana.
... loyda..ni shida...
ana visa. lukuki..
[h=3]Nimeshuhudia shem akisaliti[/h] Started by loyda, 6th July 2014 15:45
[h=3]Nifanyeje kuhusu ili?[/h] Started by loyda, 8th July 2014 18:37
[h=3]Hii ipoje wapendwa[/h] Started by loyda, 23rd July 2014 09:01
[h=3]Nisaidieni wakuu hapa nimevurugika[/h] Started by loyda, 23rd August 2014 14:35
[h=3]Wadada wenzangu kama ni wewe unakutana na hali hii unaimalizaje?[/h] Started by loyda, 15th October 2014 16:54
[h=3]Sina raha baada ya ku-misplace Ipad niliyopewa zawadi na mpenzi wangu[/h] Started by loyda, 28th October 2014 13:06
Tyta duh we noma nina mashaka sana kuwe wewe ni TISS
nawe huku hujatutendea haki,,,,,
[h=3]Kaka yangu anataka kumuoa mchumba wangu, ameamua kwelikweli[/h] Started by Makaura, Today 14:25
Ahhhhhaa nakupenda ujue
Mizenji Ndivyo Ilivyo.
... loyda..ni shida...
ana visa. lukuki..
Nimeshuhudia shem akisaliti
Started by loyda, 6th July 2014 15:45
Nifanyeje kuhusu ili?
Started by loyda, 8th July 2014 18:37
Hii ipoje wapendwa
Started by loyda, 23rd July 2014 09:01
Nisaidieni wakuu hapa nimevurugika
Started by loyda, 23rd August 2014 14:35
Wadada wenzangu kama ni wewe unakutana na hali hii unaimalizaje?
Started by loyda, 15th October 2014 16:54
Sina raha baada ya ku-misplace Ipad niliyopewa zawadi na mpenzi wangu
Started by loyda, 28th October 2014 13:06