Elimringi moshi
Senior Member
- Aug 10, 2011
- 191
- 108
Ujue ndio maana mkiambiwa wanawake hamna msimamo msilalamike. Its just that there is no certainty when dealing with you guys.
Anajali kuliko mchumba kwani unawashindanisha? (Maslahi na ndoa ni vitu tofauti dada)
Kwa hiyo unahangaika hadi upate anayekujali kuliko wote duniani ndo akuoe?
Kujali unakutafsirije wewe? Kwa sababu mimi nikiwa nakupa 10,000/= akaja anayekupa 100,000/= si kwamba anajali kuliko mimi, labda ndo uwezo wake? na ukiniacha kwa ajili yake akaja wa kutoa 1M?
Hebu malizia kulala halafu uje uandike tena kwa kweli...Manake hizi stress za kwenda kugombea daladala inawezekana zishakuvuruga asubuhi asubuhi
Sawa mkuu
Mkuu kwanini unatoa siri zetu wanaume hadharani hivi?
Ujue ndio maana mkiambiwa wanawake hamna msimamo msilalamike. Its just that there is no certainty when dealing with you guys.
Anajali kuliko mchumba kwani unawashindanisha? (Maslahi na ndoa ni vitu tofauti dada)
Kwa hiyo unahangaika hadi upate anayekujali kuliko wote duniani ndo akuoe?
Kujali unakutafsirije wewe? Kwa sababu mimi nikiwa nakupa 10,000/= akaja anayekupa 100,000/= si kwamba anajali kuliko mimi, labda ndo uwezo wake? na ukiniacha kwa ajili yake akaja wa kutoa 1M?
Hebu malizia kulala halafu uje uandike tena kwa kweli...Manake hizi stress za kwenda kugombea daladala inawezekana zishakuvuruga asubuhi asubuhi
Loyda tulia dawa ikuingie ili ukidanganyika usije kusema jf haijakushauri, ukitaka kujuta mpe huyo mjeda nafasi unayedhani anajali ndo utajua rangi yake halisi, kua na msimamo usidanganyike na trick za wanaume sisi ni noma sana don't try this at home.
Muulize kama yuko tayari kuwa Mtanganyika
Habari wana MMU
Msishangae naandika nini hapa bado nipo kitandani najivuta kuamka nikatafute ulaji Lakini usiku wangu haukuwa mzuri kifupi kuna kijana mmoja ni mwanajeshi mzanzibar,nmefahamiana nae ni kama mwezi kiukweli nikwamba anadai ananipenda sana lakini nilimwambia nina mchumba anadai yupo tayari kwa lolote ili mradi nije kuwa mkewe.
Mwanzo sikuwa hata na mawazo naye ila siku mbili hizi nmejikuta nampenda sana hata usiku silali namuwaza hadi basi.
Anaonesha anajali kuliko mchumba Wangu
Hapa nipo njia panda
Nipeni mawazo yenu wakuu
Habari wana MMU
Msishangae naandika nini hapa bado nipo kitandani najivuta kuamka nikatafute ulaji Lakini usiku wangu haukuwa mzuri kifupi kuna kijana mmoja ni mwanajeshi mzanzibar,nmefahamiana nae ni kama mwezi kiukweli nikwamba anadai ananipenda sana lakini nilimwambia nina mchumba anadai yupo tayari kwa lolote ili mradi nije kuwa mkewe.
Mwanzo sikuwa hata na mawazo naye ila siku mbili hizi nmejikuta nampenda sana hata usiku silali namuwaza hadi basi.
Anaonesha anajali kuliko mchumba Wangu
Hapa nipo njia panda
Nipeni mawazo yenu wakuu
Habari wana MMU
Msishangae naandika nini hapa bado nipo kitandani najivuta kuamka nikatafute ulaji Lakini usiku wangu haukuwa mzuri kifupi kuna kijana mmoja ni mwanajeshi mzanzibar,nmefahamiana nae ni kama mwezi kiukweli nikwamba anadai ananipenda sana lakini nilimwambia nina mchumba anadai yupo tayari kwa lolote ili mradi nije kuwa mkewe.
Mwanzo sikuwa hata na mawazo naye ila siku mbili hizi nmejikuta nampenda sana hata usiku silali namuwaza hadi basi.
Anaonesha anajali kuliko mchumba Wangu
Hapa nipo njia panda
Nipeni mawazo yenu wakuu
tobaaaa
Habari wana MMU
Msishangae naandika nini hapa bado nipo kitandani najivuta kuamka nikatafute ulaji Lakini usiku wangu haukuwa mzuri kifupi kuna kijana mmoja ni mwanajeshi mzanzibar,nmefahamiana nae ni kama mwezi kiukweli nikwamba anadai ananipenda sana lakini nilimwambia nina mchumba anadai yupo tayari kwa lolote ili mradi nije kuwa mkewe.
Mwanzo sikuwa hata na mawazo naye ila siku mbili hizi nmejikuta nampenda sana hata usiku silali namuwaza hadi basi.
Anaonesha anajali kuliko mchumba Wangu
Hapa nipo njia panda
Nipeni mawazo yenu wakuu