Huyu mwanajeshi ananichanganya


well said, most of women are oppotunist!
 
They are bad news my dia, dont try it, utaaanguka vibaya.
 

Mwambie anitafute mi ntampa 10M, lifti ya kwenda kazini mwezi mzima...,yaan nitamjali kwa kipindi chote atachonipa mchezo
 

ha ha ha haaaa nimecheka mpaka basiiii......
 
Nenda kampe papuchii thn ujue kama anajua mambo il umpe moyo kabisa kuliko kumuota uck
 

nahisi namjua huyo kijana ni mchaga
 

mtaka cha uvunguni sharti ainame.kwa vile wanaume tunajua weakness zenu wadada basi tunawafunua tu bila shida.Naona mjeshi ameshachukua point tatu.
 
Tamaa ni mbaya usioneshe uzaifu kama jamaa yako anakupenda komaa nae
 

Hilo co la kutueleza cc hapa ni maamuzi yako mwenye pumbafuuuu zako
 

Kakuendea kwa bibi huyo..... Teh teh... Fahamu zitakurudia ukiwa na watoto tisa..... teh
 
Katika watu nawa admire na kuwapenda (si kimapenzi maana siko available) ni wanajeshi...
Yani mwanajeshi yeyote nikimuona ananivutia sana...kuna siku nilikuwa nchi ya watu nikawaona vijana wadogo wamevaa combat na mabefi yao mgongoni...nikawa najiuliza hawa sijui wametoka Afghanistan au wapi?...Nilitamani kuwapigia salute...hawa ndio raia namba moja wa nchi yeyote...
 
Ndo naamini ili umpate mwanamke inabidi umdanganye akija kushtuka tayari umeshapita
 
dare for ur own risk, maisha ni uamuzi,ila tutakushanga ukija na lawama kutoka kwa mjeda...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…