Huyu mwamba ajengewe sanamu...!!!

Polisi wa Zambia wazembe....!!!!!

Yaani mtu hadi anaweka status WhatsApp bado hawajamkamata huko alipo....!!

Au wanasubiri atoe connection ndo wamkamate...???!

Ugwadu mbaya sana..๐Ÿ˜.
 
Polisi wa Zambia wazembe....!!!!!

Yaani mtu hadi anaweka status WhatsApp bado hawajamkamata huko alipo....!!

Au wanasubiri atoe connection ndo wamkamate...???!

Ugwadu mbaya sana..๐Ÿ˜.
Wamkamate kwa kosa gani? Kwani huyo Mke wa Boss si alihiari mwenyewe?

Wanatakiwa wamkamate Mchina kwa kutolipa mshahara.
 
Haahahahahahahahahah
Kyee kyeee kyeeee kyee
Hiii Hiiiiii hiiii hiiii hiiii hii
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Woyiiiiiiiiii woyiiiiiii woyiii

Kupatwa Kwa Shing shang dynasty!
Muchina Lee shang chi kachapiwa mke na baharia wa kuzambia!
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ
 
Kanyimwa mshahara yeye kajilipa papuchi. Nani amepata maumivu?. Hii ndio ile watoto wa kitaa tunaita mbwa kala mbwa!!
 
๐ƒ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ, ๐ฐ๐š๐ญ๐ฎ ๐ง๐ข ๐ฆ๐š๐ฆ๐š๐Ÿ๐ข๐š ๐ฌ๐š๐ง๐š, ๐ฎ๐ง๐ฒ๐š๐ฆ๐š ๐Ÿ๐ฎ๐ซ๐š๐ง๐ข ,๐ก๐จ๐ง๐ ๐ž๐ซ๐š ๐ฒ๐š๐ค๐ž ๐ฃ๐š๐ฆ๐š๐š ๐š๐ฆ๐ž๐ญ๐ฎ๐ฐ๐š๐ค๐ข๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐ฌ๐ข๐ฌ๐ข ๐ญ๐ฎ๐ฅ๐ข๐จ๐๐ก๐ฎ๐ซ๐ฎ๐ฆ๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฆ๐š๐›๐จ๐ฌ๐ฌ ๐ณ๐ž๐ญ๐ฎ
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ