TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Kwani kiongozi wa chama hajatolea maelezo upotevu wa ela ya ruzuku ya 237 mil ambazo zilikosa maelezo ya matumizi? Kamati Kuu si ilikaa majuzi kwa nini hakutoa maelezo? Na nyie mpo mpo tu mkiendeleza dhuluma kwa masikini !!!Kinachofanyika ni wizi, ufisadi na dhulumu kubwa dhidi ya masikini wanaolipa kodi kwa tabu huku wao wakiishi raha mstarahe.