wagaba
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,106
- 603
Labda kama kura za maoni za ccm katika kila jimbo zitapigwa kwa haki wanaweza kuwekwa kando hao "wahamiaji". Manake hapo watakutana ccm halisi na ccm wahamiajiSio wa kuwashangaa hao njaa haina adabu,wamehakikishiwa kurudi 2020
Amri kutoka juu ndo labda itaweza kuwaponya wahamiaji.