stevoh
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 2,921
- 1,104
is there a difference? mimi siioniEeh, acheni utani, hivi hapa ni Mama kapewa mimba na mwanaye au mtoto kampa mama yake mimba?!
kama huyo mama ni kichaa, naona ni sahihi ulivyoandika, mtoto kampa mama yake mimba but kama yuko ok, yeye ndiye kapokea mimba ya mwanaye, utakubalije kulala na mwanao ukiwa na akili timamu?!, inaanzaje hasa?!