Huyu msichana vipi?

Huyu msichana vipi?

Kwani wewe lengo lako kwa huyo dada ni kumuoa au ni kumega kisela na kusepa..?
Suala la marriage huwa linakuja baadae sana labda baada ya mwaka hivi tukishajuana zaidi ndio hayo mawazo ya ndoa yaje. Nilikuwa nataka kumdate tu
 
Nimejikuta nasikitika tu.....
Na I'm sure hata wazazi wako wana mashaka na uanaume wako
Ungeshare mkuu opinion yako maana binadam tupo tofauti, tumekulia mazingira tofauti tofauti yenye experience tofauti kwa hiyo hata the way of thinking lazima iwe tofauti
 
Wakamwambia mbona hata kuandika kwako braza kunaonyesha wewe si mtu wa Busy
kazi yangu inahusisha kuandika sana kwa hiyo muda wote nipo kwenye computer, siwezi kukosa a few minutes kuingia Jamii Forums ku share something
 
kazi yangu inahusisha kuandika sana kwa hiyo muda wote nipo kwenye computer, siwezi kukosa a few minutes kuingia Jamii Forums ku share something
Kuandika muda wote sio kuwa busy
 
Ngoja niendelee kukomaa na vitabu vyangu vya wealth of magic na rich dad poor dad labda na mimi ndamiliki hata subaru, bana Jf tupeni location nasi tusukume ndinga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom