bwii
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 1,432
- 2,679
Habari wapendwa.
Nimekuwa katika mahusiano na msichana mmoja muda wa miezi sita sasa.Ila kuna kitu sjakielewa toka kwake.
Ni kwamba kila tunaposex kuna neno huwa anapenda sana kulitamka kua"baby nipeleke chooni"na huwa analirudia mara kwa mara hadi mara nyingine nakatiza pambano ili aende au nimpeleke, lakini anabaki kimya kuniangalia na haamki kitandani.
Wadau hii inaweza kua ni mzuka wake au ni gia yake ya kuomba half time.
Msaada kwenu maana hii tabia inanikera, nikimuuliza hanijbu na sometyme nanuniwa na game naweza nisipewe tena.
Nawasilisha kwenu.
Nimekuwa katika mahusiano na msichana mmoja muda wa miezi sita sasa.Ila kuna kitu sjakielewa toka kwake.
Ni kwamba kila tunaposex kuna neno huwa anapenda sana kulitamka kua"baby nipeleke chooni"na huwa analirudia mara kwa mara hadi mara nyingine nakatiza pambano ili aende au nimpeleke, lakini anabaki kimya kuniangalia na haamki kitandani.
Wadau hii inaweza kua ni mzuka wake au ni gia yake ya kuomba half time.
Msaada kwenu maana hii tabia inanikera, nikimuuliza hanijbu na sometyme nanuniwa na game naweza nisipewe tena.
Nawasilisha kwenu.