Huyu msichana mimi simuelewi

Huyu msichana mimi simuelewi

mtoa mada mweleze huyo dada makavu live kuwa akuache uendelee na maisha yako kitendo cha kukupigia na kuomba muonane ni kwamba anapima ujinga wako sasa wewe komaa na achana nae kabisa hafai kuwa mke huyo hata kidogo maana kama ulipanga kumuoa na yeye akadiriki kukuambia ana mtu mwingine ni kwamba hana upendo na wewe hata kidogo bali atakuwa alikuwa anakutumia kwa maslahi yake binafsi tu. Tulia utapata mwanamke bora ambaye atakuwa mke wako hapo baadae. Nakupongeza kwa kuumizwa na kuwa na msimamo wa kutowachukia pindi unapowaona huo ndio uanaume unaumia rohoni tu ila usoni unacheka
 
Huu ndo uwanuaume ninaoutaka mm kila Siku,kukaa kimya nalo ni jib chief,kufanya vimbweka vyote ili akuone unatetereka but umekaza ukayachukua maumiv yako na kuyaweka mfukon,Bravo's You,we kakikutafta tenha we kasikilize tu then hata usionyeshe chochote,hakuna kitu kinatesa MTU akupigie kimya,mana hapo anajiuliza maswal bila majib
Kukaa kimya ni jibu tosha....
 
Madem wakatili sana yaani anakuambia kuwa wewe na yeye it's over and the worst thing anakutajia jamaa aliyenaye ambaye pia unamfahamu! nakumbuka nilishawahi kuloose weight 10kg kwa wiki moja baada ya kukutana na scenerio kama yako valentines day ya mwaka 2010. Hivi vitu visikie tuu omba visikutokee...
dah huyo demu alikusaidia sana kupungua uzito, mie nashinda gym miezi sita sasa nimepungua kilo nne tu. Ulipata bahati sana
 
Huu ndo uwanuaume ninaoutaka mm kila Siku,kukaa kimya nalo ni jib chief,kufanya vimbweka vyote ili akuone unatetereka but umekaza ukayachukua maumiv yako na kuyaweka mfukon,Bravo's You,we kakikutafta tenha we kasikilize tu then hata usionyeshe chochote,hakuna kitu kinatesa MTU akupigie kimya,mana hapo anajiuliza maswal bila majib
Appreciate this
 
Dogo usisumbuke we mtafute mwanamke mzuri ongea naye harafu mwambie aje akukute naye akikuambia nataka niongee na wew mwambie huyu hapa ni mwanandani wangu ongea tu kwa kuwa hata ukinitoa hapa lzm huyu nitamjulisha tu usikilizie gugumiz lake

Akikuvalia bango uwe umejiandaa kama laki na nusu hiv kabla ya kuondoka mwambie hii hapa ya matumiz bby wangu harafu mbusu mbele yake harafu mfuate ukamsikilize


Akili zangu nazijuaga mie tu mtu akinizingua igizo lake ntakalomfanyia nadhani aendako atajifunza
Nimependa plan hako. Hakika hili igizo ukilitimiza.. ex anaweza kuota milele
 
Achana nae tu.na msamehe kwa yote ila usifanye kosa kurudiana nae. Atakuumiza tena. Maana alikwambia mwenyewe ameshapata mwanaume.
 
Nimependa plan hako. Hakika hili igizo ukilitimiza.. ex anaweza kuota milele
Mtu akijidai mjuaji mbane mpaka kule anakoenda aendelee kukumbuka hata akifikiri kumfanyia mwingine ajiulize mara nne nne
 
Ukiamua kutumia ujinga utakugharimu ilihali mpaka sasa ushavuka sehemu kubwa ya gharimu hiyo. Huna haja ya kuonananae, utafukua uchungu ulipo, hawezi kukwambia simuni mwambie basi, kuonana no.
Mwanamke gani huyo usawa huu anakuomba laki mbili kama anaomba vocha? Anakuuzia nini? Hafai hata kuwa mke huyo.
 
Mwambie aje kwako! Akija pakua mzigo halafu achana nae mazima na ikiwezekana badili had I namba zako za simu.
 
mhh hata akija usipige mzigo mkuu, kuna jamaa alikutana na mtihani kama huo demu akaomba waagane ka mwisho, jamaa akakubali basi alipigiwa show ya ukweli,akamsamehe mwenyewe
 
dah huyo demu alikusaidia sana kupungua uzito, mie nashinda gym miezi sita sasa nimepungua kilo nne tu. Ulipata bahati sana
bahati nzuri nilipata ambaye ananipa viti el-mubasher hadi nimerudi kuwa kama captein komba
 
Back
Top Bottom