Huyu msichana mimi simuelewi

Huyu msichana mimi simuelewi

Mkuu hiyo laki mbili aliyoomba ndio ilikuwa pesa yake ya mahari au haikuwa inahusiana na mahari!?!
 
Pole mkuu! Wadada sisi!!!!
Kama hutaji kuwaona kabisa, ukiwa na unauwezo wa kuhama sehemu hiyo ningekushauri uhame ila kama huna uwezo huo basi komaa na msimamo wako. Usimpe time ya kujieleza na wala usimjibu msg. Usibadilishe njia, jifunze kuwapotezea.
We Paprika weweeee..... adui wa mwanamke ni mwanamke..
 
Pole mkuu! Wadada sisi!!!!
Kama hutaji kuwaona kabisa, ukiwa na unauwezo wa kuhama sehemu hiyo ningekushauri uhame ila kama huna uwezo huo basi komaa na msimamo wako. Usimpe time ya kujieleza na wala usimjibu msg. Usibadilishe njia, jifunze kuwapotezea.
Yan kuna wakat mnakua
Watu wa maana sana na kupendeka
Kupta kias lakin mkiamua
Kubadilikaa hakiamungu hata
Nyoka anaafadhali.
 
Huyo achana nae ataendelea
Kukustres bure yy co dem pekeake watt wazur wapo
Wengi sana wamejaa tele
 
kama hawezi kukuambia kwenye simu si umpotezee tu,
 
Tafuta tu pesa achana nae huyo atakurudisha nyuma tu
 
We Paprika weweeee..... adui wa mwanamke ni mwanamke..
Asa hapo uadui uko wapi?
Mi wananikera wasaliti na mbaya zaidi ni wale wanaokusalini na rafiki yako... Ni wabaya zaidi ya Ibilisi... Yaani naandika hapa adi hasira imenishika
 
achana nae kaka mkwepe aisee utauaaa maana mizuka ikija utaruka mateke kama van dame au bill blanks hutakumbuka ni mtoto wa kike...hasira si mchezo
 
Asa hapo uadui uko wapi?
Mi wananikera wasaliti na mbaya zaidi ni wale wanaokusalini na rafiki yako... Ni wabaya zaidi ya Ibilisi... Yaani naandika hapa adi hasira imenishika
Polee ungekua muhusika cjui ungekua na hali gani...ila inauma sanaa kiukweli
 
Asa hapo uadui uko wapi?
Mi wananikera wasaliti na mbaya zaidi ni wale wanaokusalini na rafiki yako... Ni wabaya zaidi ya Ibilisi... Yaani naandika hapa adi hasira imenishika
Usikute na wewe ushawahi saliti
 
Madem wakatili sana yaani anakuambia kuwa wewe na yeye it's over and the worst thing anakutajia jamaa aliyenaye ambaye pia unamfahamu! nakumbuka nilishawahi kuloose weight 10kg kwa wiki moja baada ya kukutana na scenerio kama yako valentines day ya mwaka 2010. Hivi vitu visikie tuu omba visikutokee...
 
Dah, kinachomtesa ni ule wema uliomfanyia na upendo ulioendelea kumfanyia hata baada ya upuuzi wake, hivyo anakuwa anateseka anahisi labda kakosea ya kuwa we ndo mtu mwema badala ya huyo mpya....ni technique nzuri umeitumia ya kuwasalimu kwa furaha
 
Mambo ya mapenzi acheni tu, si siku nyingi atakuja kuomba ushauri baada ya kurudiana naye na kuachana tena.

Nina jamaa yangu alimwagwa na dem kwa kuambiwa nilipenda hela zako siyo wewe, tukamshauri achana naye na umsahau, baada ya muda wakarudiana, wakaja wakaachana tena.
ha haha mimi physically huwa sishauri mtu waachane namwambia tu we jiongeze
 
Back
Top Bottom