Huyu msichana mimi simuelewi

Huyu msichana mimi simuelewi

Profesa nyorosha alafu pita hivi.... Hawa dawa yao ni kunyorosha tu... Hawatakagi kingine
 
Imebidi nifuatilie hii nyuzi hadi hapa...kifupi ni hivi
Huyo demu alikuwa anajaribisha kiberiti kama kinawaka, sasa kimemuunguza.
Alionyesha kukudharau kwa kuambia hadi huyo anayemchenga, akikutegemea utakuwa na wivu ili umtetee, hukuhangaika, safi.
Usije mpa nafasi tena maana amekutesa
Hata message zake usimjibu, yaani mdharau na yeye, alidhani papuchi yake ina dhahabu, mpige chini.

nakupongeza, mademu wazuri wamejaa ambao ukimuweka ndani utajisikia kama upo mbinguni, lakini sio huyo. Kwanza demu anayekupenda hakuchuni.
 
Aking'ang'ana sana mpe anachotaka halafu mteme tu kiulaini... Lakini usimpe moyo tafadhali... Damu ya kwenda kwa ubongo itasimama..
 
1. Hicho unachotakwa kuambiwa kwanini usiambiwe kwenye simu au SMS? Au akuandikie barua kama alokuandikia kuku-dump. Anang'ang'ania kuja kwako Trust me hakuna jema hapo. Kama ni kuonana muonane mahali public

2. Alikutajia anaejimenyea mpya ili ulete ugomvi au maneno. Ukawa mwanaume wa kweli ukaliepuka. Kipande hiyo kashindwa. Anakuja kwako ili lengo la ugomvi litimie, yule jamaa mwingine aje iwe vurugu. Au akiwa kwako ampigie yule mwingine amtusi amwambie yuko na wewe. Nasikia harufu ya mtego. Kaa chonjo

3. Keshatiwa mimba. Na vile anakujua anajua atakugusa wapi au atasema kipi ulainike ujichapie tena "Fillet" bila condom. Ubebeshwe mimba ya mwenzako ilotungwa 14th Feb. Usikubali faragha at any cost

4. Kama ni mshirikina au keshafundishwa na mashosti anakuja kwako ku-plant. Mkatae kwako asifike.

Uamuzi ulochukua mwanzo wa kukaa kimya ni sahihi sana usikubali leo kuubadili.

Hasira na machungu ya kuachwa yaelekezee kwenye kutafuta hela na ahueni ya maisha. Utapata mwingine atakaekupa raha na kukuheshimu mjenge Empire pamoja
 
Mkuu umewaomba samahani wale rafiki zako uliokuwa unawagongea mademu zao? Maana laana huwa zinakuja kwa njia mbalimbali.
 
Kijana, huyo mwanamke muogope kama ukoma, sio binadamu wa kawaida, ameenda kwa huyo bwana na sasa wameachana anakutafuta wewe, iliwahi kunitokea binafsi baada ya mwanamke kuingiwa na tamaa za kipumbavu, mwisho alikuja kugundua kuwa nilikuwa muhimu kwake, kwa kweli nilimwambia imetoka na alikuwa na rafikie akanipenda, story ni ndefu but in short huyo sio binadamu wa kawaida
 
Ma-X wangu wote huwa wanasema mi Nina roho ya kigaidi, sababu mi demu akinizingua nafuta mawasiliano yote na huwa napiga kimya mazima ila nikikutana nao Hi nawapa, washalia wee mi nawacheki tu. Huyo demu we piga kimya kabisa endelea na mishe zako. Watoto wazuri wako wengi sana nowdays.
Good
 
1. Hicho unachotakwa kuambiwa kwanini usiambiwe kwenye simu au SMS? Au akuandikie barua kama alokuandikia kuku-dump. Anang'ang'ania kuja kwako Trust me hakuna jema hapo. Kama ni kuonana muonane mahali public

2. Alikutajia anaejimenyea mpya ili ulete ugomvi au maneno. Ukawa mwanaume wa kweli ukaliepuka. Kipande hiyo kashindwa. Anakuja kwako ili lengo la ugomvi litimie, yule jamaa mwingine aje iwe vurugu. Au akiwa kwako ampigie yule mwingine amtusi amwambie yuko na wewe. Nasikia harufu ya mtego. Kaa chonjo

3. Keshatiwa mimba. Na vile anakujua anajua atakugusa wapi au atasema kipi ulainike ujichapie tena "Fillet" bila condom. Ubebeshwe mimba ya mwenzako ilotungwa 14th Feb. Usikubali faragha at any cost

4. Kama ni mshirikina au keshafundishwa na mashosti anakuja kwako ku-plant. Mkatae kwako asifike.

Uamuzi ulochukua mwanzo wa kukaa kimya ni sahihi sana usikubali leo kuubadili.

Hasira na machungu ya kuachwa yaelekezee kwenye kutafuta hela na ahueni ya maisha. Utapata mwingine atakaekupa raha na kukuheshimu mjenge Empire pamoja
Puppy, una akili mpaka umepitiliza, yaani umemjibu vizuri na huko alipo nadhani ameshahama nyumba, sijui we ni ke au me, kama ni ke basi pokea kabusu hapo ulipo, kama ni me basi chukua kiroba kwa Mangi nakuja kulipa
 
Nawashukuru wakuu nitaendelea na msimami wangu naendelea kuimarika kila siku na kuelekeza nguvu,,akili kutafuta pesa
 
Msikilize atakachokwambia. Katika maisha kukosea kupo na sometimes kuna kudanganywa. Akijirudi kama unampenda nakushauri ukubali. Atakuwa amejifunza kitu. Na kama utaamua kumsamehe umsamehe bila masharti yoyote
 
huyo kashapigwa chini huko alipo kuwa, sasa anarudisha mpira kwa kipa kwako.usimpe hata nafasi ya kuongea nae kabisa tena mwambie ushaopoa kipusa kingine baada ya yeye kukutumia ule ujumbe.
 
Back
Top Bottom