Raha sana kujadiliwa huku yeye ameshavuta mkwanja wake anakula bata tu,sasa mlitaka afanyeje? mbona hizo stori kila mtu anazijua kwenye magazeti,redio au mpoki kusema ndo zimewakereni mpoki ni bonge la mc anawafanya watu kuwa active muda wote hakuna kulala ili mradi uwe na mbavu za ziada mimi sikuona tatzo la mpoki ndiyo kazi ya sanaa,kuelimisha,kuburudisha na kukosoa jamiii