Duuuuh!!!!!!!!!!!! mkuu umemalizaUyo wa Dar mfanye mchepuko huyo mwenye nia mfanye mme, hakuna kuacha kitu apo wanawake wenzako wanatamani wapate ata mwanamme mmoja hawapati, wewe unao wawili unajiuliza.!!!
Hahhahhaa uwiiii nalo neno laknWanaume wa dar? Hivi dar unajua Kuna wanawake wangapi zubaaa
Tatizo ulicheza mechi chini ya kiwango, naona anazidi kukupa muda kama kiwango kitapanda akupandishe kwenye kikosi cha kwanza, jitahidi uboreshe kiwango chako cha uchezaji.

Umenena vemaUkiona mwanaume hasemi kitu kuhusu future jiongeze..simple
Mapenzi KWA mwanamke huja baadaye mbele ya safari. La muhimu kwenu ni kupendwa si kupendaAtajijua mwenyewe ngoja ajikute kakosa kote!
Kweli kabisa hat mimi nafikiria hivyo hivyo hata kama hatangazi ndoa at least angeweka misingi ya mahusiano yetumpige chini wa zamani anakupotezea muda mkubalie mpya uolewe mwishowe utazeeka mwanaume akikupenda kweri huwa achelewi kutangaza ndoa sasa huyo jamaa miaka yte hiyo wewe ndo unalialia
Nampenda sana wa Dar japo ndo simuelewi elewi, halafu hata yeye labda kwa vile anajua nampenda sana ndo maana analeta majidauUnampenda yupi kati ya hao?..Ila huyo wa Dar anaweza kuwa Magumashi..Na huwezi kujua uenda ana mtu wake huko..
Sio "anaweza" akawa huyo ni muhuni tu na dada ndio kafa kaoza
Asante.limekaa kiugumu cha kufanya si kuwa na mtu tuu bali ni yupi kati yao unampenda and "kupanga ni kuchagua" ukishindwa mupanga manake umeshindwa kuchagua by the way take care!!!
Mmejuana mwaka 2014 mmekuja kuonana mwaka 2015, kwa hiyo wewe ulitegemea baada ya kuonana kwa mara ya kwanza atangaze ndoa moja kwa moja wakati hajapata hata muda wa kukaa na wewe na kukufahamu kiundani zaidi ili ajue kama unafaa kuwa mke wake au la?
Angalia dada yangu, tamaa na shauku yako ya kutaka kuolewa haraka haraka isije kukusababisha ufanye uchaguzi usio sahihi. Muombe Mungu sana ili akusaidie kukuangazia ni yupi anayekufaa. Kumbuka "Mvumilivu siku zote hula mbivu" na "Haraka haraka, haina baraka."