Huyu mpenzi wangu simuelewi

Huyu mpenzi wangu simuelewi

Hata wanawake wapo ambao hawataki ongelea mahusiano kabisa
 
Miaka 2 bado hakuna jipya dada unatumika,
Fimbo ya mbali haiui nyoka huyo wa karibu alieonyesha nia mpe nafasi japo kwa kuanzia usiingie mzima mzima Anza kwa kumchunguza.


Ila mkuu Njombe mpaka dar unafuata dyudyu tu
Dyudyu ni hatari sana, njombe hadi dsm duuh!!
 
Sa si umuulize? Unalalamika wakati hujamuuliza mhusika? Je kama anapanga kimyakimya ili akusuprise?
 
Mpya anataka kupiga show asepe au katangaza ndoa?
 
Miaka miwili kwenye mahusiano ya uchumba ni mingi na inatosha. Mwambie afanye maamuzi sasa.
 
Kijana wa leo hiyo komenti umeitoa wewe??si juzi tu ulikuwa unalialia hapa eti unataka kufa????
 
Kama unampenda give him some time utafurahia maisha usiteme JoJo kwa karanga za kupewa mkononi. Mimi wangu tulikaa hivyo miaka minne tena akiwa anafanya kazi na Mimi mwanafunzi wa chuo Mwanza to dar mwisho mambo yame tick tunafurahia maishaaa. Ila kama umependa kweli na sio masihara mjumbe.
 
Nilichogundua ni kuwa huna mapenzi yoyote na huyo wa dar, bali nia yako ni kuolewa tu!
 
mkubalie huyo alie serious, huyo wa dar una muacha kimya kimya
 
Naboti samahani eti mikakati ya mahusiano ndiyo ipi hiyo!! Nieleweshe
 
Huyo wa dar siyo muoaji na kama umepata mtu olewa utakuja kujuta, huyo anakula mzigo tu
 
Ndo maana uwa sipendi sana shinda huku. Nikikaa nusu saa tu kichwa lazima kigande.

Wataalamu watakushauri. Tulia tu.
 
Back
Top Bottom