alikuwa na shida ya muda mrefu, na nimehangaika kweli kumsaidia nikiwa kama msimamizi wake wa kituo. Katika kumsaidia huko nimejikuta nikikaripiwa, nikizodolewa, nikishutumiwa n.k. Juzi, baada ya miaka kama mitatu ya kuhangaika, amefanikiwa. Cha ajabu baada tu ya mafanikio anatuma ujumbe, 'dunia hii hakuna mjanja wa kukusemea au kukupigania zaidi ya Mungu, hakunaaaa'!
Nashangaa: Kwa mawazo yangu nilifikiri atatoa angalau ka 'ahsante' na kwangu pia (ingawa si kitu ninachokitolea macho sana) kwa kushiriki katika mchakato.
Najiuliza: hiki ni kijembe kwangu kwamba hakuridhika na msaada wangu au?
Hata hivyo naogopa kulaumu sababu amemtaja Mungu, maana itakuwa km nina wivu na Muumba, kitu ambacho si sahihi.
Nimueleweje huyu?!!!
Nashangaa: Kwa mawazo yangu nilifikiri atatoa angalau ka 'ahsante' na kwangu pia (ingawa si kitu ninachokitolea macho sana) kwa kushiriki katika mchakato.
Najiuliza: hiki ni kijembe kwangu kwamba hakuridhika na msaada wangu au?
Hata hivyo naogopa kulaumu sababu amemtaja Mungu, maana itakuwa km nina wivu na Muumba, kitu ambacho si sahihi.
Nimueleweje huyu?!!!