MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Hawa viongozi wetu kweli wanapenda starehe! Hebu ona walivyokenua! 'Enzi za Mwalimu' kulikuwa hakuna mambo kama haya. Viongozi walikuwa serious wakifanya kazi usiku na mchana si kwenda kwenye starehe! Sokoine angeliwasikia asingewaacha! Uongozi ulikuwa ni sacrifice haswaaaa leo uongozi ni kutanua.
Mkuu sasa hapa umezidi. Sawa wana takiwa kuchapa kazi ila ukiwa kiongozi ina maanisha wewe ni kazi 24/7 usiwe na social life? Na hata hao viongozi unaosema walikua wana fanya kazi usiku na mchana ni wewe tu ulikua hauoni kwa maana wakati huo kulikua hamna source nyingi za habari. Na hata ukiangalia baadhi ya video na picha za zamani utaona mtu kama Nyerere kwenye tafrija mbali mbali.