The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,504
- 2,047
Nataka nijue kiongozi wa mbio za mwenge hua anapatikana kutoka kada ipi! Maana nimemsikia akitoa maagizo kana kwamba nae ni kiongozi wa umma wa ngazi ya juu sana! Je ni mchakato gani hutumika kumpata!?