Mfalme Akili
Member
- May 28, 2017
- 88
- 55
- Thread starter
- #41
Nitalifanyia kazi hilo, asante kwa ushauri.Block namba yake aisee kuna siku utapatwa na mazito ushindwe kurudi kuleta mrejesho
Nitalifanyia kazi hilo, asante kwa ushauri.Block namba yake aisee kuna siku utapatwa na mazito ushindwe kurudi kuleta mrejesho
Kakupendea pesa, huyo kibaka tu nawewe mpotezee punguza upole
Sina mtazamo huo, sababu natoa kama navyotoa kumsaidia mtu yeyote mwenye uhitaji wa kile ninachoweza kumsaidia.We huoni unachunwa hapo?????
Nipo billy miss you sanaAlways on point, upo?
kweli kabisa ..Kakupendea pesa, huyo kibaka tu nawewe mpotezee punguza upole
Nipo billy miss you sana
Asante Billy, na karibu tenaMe too, I like how you are always positive.
Ninaamini watu kibao wanautumia ushauri wako, short and very clear.
Asante Billy, na karibu tena
Hii ndo pointKakupendea pesa, huyo kibaka tu nawewe mpotezee punguza upole
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Asante, will always be around and close.
KabisaHii ndo point
Kwa hiyo kubadili namba imekuwa tatizo?Kumpotezea nimejaribu ila ni msumbufu sana kwenye simu, mara nyingi huniambia shida kuhusu mtoto wake, huruma huniingia kumsaidia mtoto. Yan kuachana nae ni labda nibadili contacts kabisa