Huyu mke vp?

Hivi wana jf, una mke wa ndoa, maisha sio mabaya kiuchumi, shida unapotaka unyumba kwa mkeo inakuwa ni mlolongo, sasa ni almost mwezi mmoja, dawa ya hili tatizo nini?
Hayatuhusu. This is your private business.
 
WANAWAKE wakishazaa watoto mapenzi huhamia kwa watoto.Hivyo basi kaa nae chini umweleze yanayokusibu.Natumai mtaelewana.
 

Yote hayo only kwaajili ya tundi, Aaah akafie mbele. Nyumba ndogo ndo kila kitu hapo.
 
Inakubidi umfuatilie kwa makini sana,kwamaana ninaimani kabisa hata yy hamu inaipata ss anaimalizia wapi?,au anatoka nje?,na kama anatoka nje inakubidi uangalie kasoro ndogo ndogo ulizo nazo mpk asivutike kimapenzi nawe.
 
inawezekana ameshaikanyaga miwaya na hataki upate maafa,usimlazimishe, mwambie mwende mkapime ngoma
 
Hivi wana jf, una mke wa ndoa, maisha sio mabaya kiuchumi, shida unapotaka unyumba kwa mkeo inakuwa ni mlolongo, sasa ni almost mwezi mmoja, dawa ya hili tatizo nini?

Simchezo mkuu , ni labda unamboa tu na shughuli hauifanyi kwa ustadi au kapata kipoozeo kinachomkuna kisawa sawa,,,,,,,,

hakuna mwanamke asiyependwa kugegedwa.
 
Yote hayo only kwaajili ya tundi, Aaah akafie mbele. Nyumba ndogo ndo kila kitu hapo.
pia nyumba ndogo inahitaji "masaji n.k." kwenda nyumba ndogo ni kuongeza matatizo na kujiabisha haswa kama jamaa hajiwezi akiwa faragha!
 
we ni nani hasa wa kunpangia cha kuandka?? Nimepewa onyo ya ban so usitake niikose jf.mind your own f*king biznes.

hebu jifunze ku argue kama matured person sio unaleta matusi na kupanic bila sababu hapa. huna self control nini wewe mtu. yaani hapa unazidi kudhihirisha UZIRO WAKO. hebu rudi form two ukajifunze life skills huko.
 
Simchezo kama mkeo ambaye mnalala kitanda kimoja huku ukiwa umeweka mguu wako mmoja juu ya kiwiliwili chake,
na vidole vya mikono yako vikiwa vinatembea mwilini kwake anaweza kukukatalia hiyo kitu kweli;
.......... au na wewe ndo wale wa ..... we mwanamke njoo huku nikurare..........
 
Last edited by a moderator:
hapo akili za kuambiwa changanya na zako-ishu hapo ni MPANGO WA KANDO
 
panua mapaya mama yoyo nirenge!!au urushie shillingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…