Huyu mkaka jamani lol

hahahaaaaa haiwezekani aisee, wa kwangu yuko mjengoni mji ulio katikati ya nchi pia soul mate wangu hana wengi ni mie tuu na (mama e....)
Ikiwa tunashare same boy daah watakuwa mapacha bana hata sitaki kuamini looh
No, can't be the same boy.
 
Last edited by a moderator:

iyo lol kwenye heading inahusikaje?
 
Maisha ni furaha na Raha ,,,,,,,,,,,,,,,,, hatuishi milele , mpe tu jamaa roho yako iwe kwatu.

Mambo ya kujibania wakati hata hao wengine unaokuwa nao pia na yenyewe yana uchungu wake,,,,,,,,,,,,,, jiachie tu.
 
Kumbe saccos yetu moja mie nlijua tuko na vicoba, hapa ni siksi paki mwanzo mwisho vitambi nooh refer yale matembezi ya posta morrocco looh soul mate asije akakimbia buree na hivi alivo mhandsome....

Halafu nahisi wewe mtu nishatembea nawe sana kwenda Morocco....lemme think
 

ebooo!!sasa mtu anakuhadithia
na kuwaponda madem anaotoka nao
na wewe unapenda hapo2???akikukula
na wewe ataenda kuhadithia na kuponda kwa wengine!!
sidhani kama anakufaa,we dumisha urafiki wa kawaida tu!!
 

ebooo!!sasa mtu anakuhadithia
na kuwaponda madem anaotoka nao
na wewe unapenda hapo2???akikukula
na wewe ataenda kuhadithia na kuponda kwa wengine!!
sidhani kama anakufaa,we dumisha urafiki wa kawaida tu!!


heee Passion Lady amkule kwani amekuwa chakula ama?:A S 39:
 
Last edited by a moderator:
Maisha ni furaha na Raha ,,,,,,,,,,,,,,,,, hatuishi milele , mpe tu jamaa roho yako iwe kwatu.

Mambo ya kujibania wakati hata hao wengine unaokuwa nao pia na yenyewe yana uchungu wake,,,,,,,,,,,,,, jiachie tu.
Mhhh...aiseee...speechless:tape:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…