Tamalisa
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 2,542
- 907
Rais ndo anayeyaheshimu majizi sio sisi wananchi!!!!
Sawa mkuuu
Rais ndo anayeyaheshimu majizi sio sisi wananchi!!!!
huwezi kuzuia kwa mkono..
Lowasa ni mzima na hata kama anaumwa shida iko wapi? Kwani kuuguwa si jambo la kawaida tumpe nnchi awatie adabu
amtie nani adabu, je ataweza kukiadabisha chama? maana hawa exleader ndo walioko kwenye chama. ANAWEZA?
Rais ndo anayeyaheshimu majizi sio sisi wananchi!!!!