...............Lisilo na mpini.Haliwezi kulima!Mbona hilo jembe!
hahahahahaha lol
duuuuhh wa bongo bana.
Lowasa akitetemeka kidogo tu mgonjwa.
Lowasa akikonyeza tu mgonjwa.
Lowasa asiposhika kalamu mgonjwa.
Lowasa akipanda ngazi taratibu mgonjwa.
Lowasa akichechemea kidogo tu mgonjwa..
Dahhhh bora ajitoe tu kwakweli ameandamwa sana.
Lowasa ni jipu, ukitumbua vibaya utachafuka wewe, linahitaji timing sana
Umri jamani nao unachangia, walitaka awe na nguvu kama kikwete? kamuacha mbali sana kiumri
Tumia lugha nzuri Ndugu au umri ulionao ndiyo yana kufanya ufanye Maya.
huwezi kuzuia kwa mkono..Mafuriko hayo ......
lowasa kiukweli ameleghea sana macho utadhani demu yuko tayari kunako 6x6
Matusi kwa mtu mzima sawa na babu yako.
lowasa kiukweli ameleghea sana macho utadhani demu yuko tayari kunako 6x6
lowasa kiukweli ameleghea sana macho utadhani demu yuko tayari kunako 6x6
Mwaka huu mtahama nchi
Heshima kitu cha bure