Urban Edmund
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 1,968
- 2,460
English yetu ni hatari kuna haja ya kuongeza nguvu kwenye kiingereza tunaaibisha huko kimataifa
Anaweza kuwa alipitia zanziberiHivi kwa karne hii ya sayansi na teknolojia mtu anaweza akapanda ndege kwenda kwenye chimbuko la dini yake na matalasimu vibuyu na tunguli ili akafanye uganguzi?
Tena wateja naona watakuwa ndugu zake wamatumbi AIBU HII
View attachment 2944712
Hapo kakutana na mwenye diniNa kiarabu chenyewe hakieleweki kabisa wanachanganya mambo mengi sana ya kishirikina
Ukimwambia asome quran hawezi na wengi hawajui
Hata huko kwao wapo waislamu wachawi wanaotumia dini vibaya na kugeuza quran kufanyia uchawi wao na Allah amewaonya ni kama kina wachungaji wenu wa mchongo kina mwamposaSema waislamu wetu huku bongo wana mambo yao ya ajabu kabisa akija muislam mgeni toka kwingine lazima ashangae,,,wengi wanaendekeza ushirikina na kuna mambo wanalazimisha ila hayapo kabisa kwenye dini
Vibaya sanaHapo kakutana na mwenye dini
Anamtoa nishai
Ova
Mtaji wao mkubwa ni sisi kutojua maandikoWote ni matapeli tu wawe hata upande mwingine ni mashetani tu
Na jamaa analazimisha eti ni Quran, mwarabu wa dubai anamwambia sawa umeandika Quran na kumtaja Allah ila hizi ni black magic bwana acha zako 😂!!.Na hapa hawaji kuja kutia neno kwenye huu uzi maana umefunua upumbavu wao wote
🤣Wameshajua kua waislam wengi sasa hivi wanasoma dini wakiwa watoto tu, so wanajua tu zile basics.
Mambo mengine mengi hawajui, sasa hawa wapigaji wamesoma hilo gape.
Hata kama wewe sio muislam ila hawa waganga wengi unatambua ni waongo.
Wanava kanzu, lemba au barghashia na sendo chini kama katoka uarabuni vile 😂😂😂.
Anachapa kiarabu hapo, anapachika na aya mbili tatu alizokalili, baasi dawa inauzika hapo.
Mama kafungua nchi huoni hata wachawi wanaenda kufanya uganguzi abroad 🤣Vibaya sana
Tena jamaa msataarabu sana na kila wakati anamuambia hii sio Quran
Kuna mchoro jamaa kachora nusu mwili umekatwa akamwambia hii ni kutaka kumuuwa kabisa mtu?
Yaani mswahili hata neno kabaki kuzubaa tu
Sijui anaenda mroga nani huko
Hata huko kwao wapo waislamu wachawi wanaotumia dini vibaya na kugeuza quran kufanyia uchawi wao na Allah amewaonya ni kama kina wachungaji wenu wa mchongo kina mwamposa
Unaona mwarabu anamkataa jamaa hapo. Anamwambia hiyo sio Qur an.Yani wao kitu kikiwa kwenye kiarabu tu wanaunganisha ni dini,,,,,kuna mambo mengine ni uchawi ila kwakua wanaandika kwa kiarabu basi wao wanasema tu ni dini
Hv umeangalia hy video.? Huoni kuna mambo ya Allah hapo.? Nyie magaidi hamjawahi kuwa na akiliYani wao kitu kikiwa kwenye kiarabu tu wanaunganisha ni dini,,,,,kuna mambo mengine ni uchawi ila kwakua wanaandika kwa kiarabu basi wao wanasema tu ni dini