matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,577
- 15,337
Kuna mende mmoja simuelewi usiku huu maana tofauti na mende wa kawaida yeye anapaa kama popo.
Anauwezo wa kupaa umbali mrefu bila kutua au kuzunguka muda mrefe bila kutua tofauti na mende wa kawaida.
Napata mashaka sana maana tabia za mende huyu sizisomi kabisa.
Je ni mende kweli wa kibaiolojia ?
Je ni Jini anataka kunitoa kwenye mstari?
Je ni mchawi anasoma ramani zangu?
Je ni drone ?
Je ni shetani ananmendea maana alimmendea hawa katika umbo la nyoka?
wataalam wa mambo ya kishirikina, kibaiolojia na kitamaduni mtoe ushirikiano tafadhari.
Anauwezo wa kupaa umbali mrefu bila kutua au kuzunguka muda mrefe bila kutua tofauti na mende wa kawaida.
Napata mashaka sana maana tabia za mende huyu sizisomi kabisa.
Je ni mende kweli wa kibaiolojia ?
Je ni Jini anataka kunitoa kwenye mstari?
Je ni mchawi anasoma ramani zangu?
Je ni drone ?
Je ni shetani ananmendea maana alimmendea hawa katika umbo la nyoka?
wataalam wa mambo ya kishirikina, kibaiolojia na kitamaduni mtoe ushirikiano tafadhari.