matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,577
- 15,337
- Thread starter
- #21
hahahanachekaga na huyu kaka jaman ana ucomed muda wote😂😂😁 eti jini anakutoa kwenye mstari
kweli mkuu wewe mende muda wote yuko Juujuu anashuka saa ngapi ili ale.
Mende anaonekana usiku tu, hasa nikiwa peke yangu,
Ukitaka Kumuua unahangaishana nae utadhani unawinda sungura.
Ikiona yuko hatarini anapaa juu zaidi ambapo huwezi kumfikia, hata ukipuliza rungu haimfikii, ni jengo lenye paa refu kidogo.
Ila nimegundua ni mende wa kawaida asiyepaa kama mende wenzake ambao nimewahi kuwaona tangu nizaliwe.