Abby Uladu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 2,241
- 4,646
Habari wakuu!!
Ni wiki sasa nipo mji mkuu wa Tanzania(Dodoma) katika harakati zangu za maisha na kutafuta riqki katika mkoa huu ulioshehedi ardhi kame.
Juzi kati hapa nikaona nimtembelee rafiki yangu wa siku nyingi ambaye yupo chuo kikuu cha Dodoma pale college of education(COED).
Katika matembezi yetu ya kuelekea Ujasi kuna ka kichaka kidogo ah nikaona wadudu waajabu kidogo na rafiki yangu huyu alishindwa kuwatambua..
Je huyu mdudu anaitwaje?
Ana sifa gan?
Kikwenu mnamuitaje?
#Tusichokijua#
Ni wiki sasa nipo mji mkuu wa Tanzania(Dodoma) katika harakati zangu za maisha na kutafuta riqki katika mkoa huu ulioshehedi ardhi kame.
Juzi kati hapa nikaona nimtembelee rafiki yangu wa siku nyingi ambaye yupo chuo kikuu cha Dodoma pale college of education(COED).
Katika matembezi yetu ya kuelekea Ujasi kuna ka kichaka kidogo ah nikaona wadudu waajabu kidogo na rafiki yangu huyu alishindwa kuwatambua..
Je huyu mdudu anaitwaje?
Ana sifa gan?
Kikwenu mnamuitaje?
#Tusichokijua#