Huyu mdada kachanganyikiwa...anahitaji msaada

Nimeipenda hii Kimey;
ungeuliza ambaye anaona hajawahi kucheat hata mara moja asogee mbele, ungejionea maajabu........................ (hii haimaanishi mimi na-cheat)
Umeona eh! Mdada wa watu kawa mkweli then anaomba ushauri watu wamekazania kumsema utadhani wao hawajawai kucheat! Infidelity is here to stay!
 
Umeona eh! Mdada wa watu kawa mkweli then anaomba ushauri watu wamekazania kumsema utadhani wao hawajawai kucheat! Infidelity is here to stay!

hii sikubaliani nayo Kimey, ngoja kambi ya upinzani tunajipanga vizuri.............. tukitoka tu hakuna tena atakayekuwa memba kwenye kile chama chao (chenu?)
 
hii sikubaliani nayo Kimey, ngoja kambi ya upinzani tunajipanga vizuri.............. tukitoka tu hakuna tena atakayekuwa memba kwenye kile chama chao (chenu?)
Kuto kuukabali ukweli ni kujifariji ni kama imani flani tu! So that is the reality that can be proved!
 
Huyo dada ashauriwe aitii kiu yake. Ikiisha atapata akili. Walau angekuwa amecheat na mtu mwingine, sasa amecheat na shemeji yake halafu anahitaji ushauri? Mhhh.. huyo dada matatizo yake ni makubwa zaidi ya alivyoeleza.
 
nawachukia wanao cheat and I have been cheated.... then baada ya ku mmwaga mtu baada ya wiki kumemshinda anakuja kunilamba miguu na kuomba msamaha wakati aliponda....

dada kwa kifupi we humfai tena Jamaa tembea mbele usije muumiza kijana wa watu,bora ungemweleza ukweli kuliko kucheat tena na mwanaume wa rafiki yako.
 
Hi, hakuna aliezaliwa akayajua mapenzi. Wote wanajifunza au kufundishwa na wapenzi wao. Huyo jamaa wa shoga yako nae alijifunza kwa hiyo cha kufanya hapo yale aliyo kufanyia jamaa wa shoga yako mwambie na yeye akufanyie. Na pia usirudie kumchukua mume wa shoga yako utakuja umbuka. Zingatia haya.
 
ushauri wangu kwa dada "USITEME BIGJII KWA KARANGA ZA KUONJESHWA"
 
hii sikubaliani nayo Kimey, ngoja kambi ya upinzani tunajipanga vizuri.............. tukitoka tu hakuna tena atakayekuwa memba kwenye kile chama chao (chenu?)

Wanachama wa INFIDELITY wanaongezeka kwa kasi kama CHADEMA
 
Huyu ahitaji msaada maana alishajisaidia mwenyewe
 
Tatizo bado hujaeleweka kama wataka bado kubaki ndani ya affair yako na kushiriki kuleta mabadiliko unayotaka kuyaona, ama wataka yashuke kutoka mbinguni na ghafla iwe vile upendavyo? Be the change that u want, then mfanye bwana'ko nae abadilike mfurahie mahaba'ti sio kurukia vilivyoundwa na wenzio!
 
Mwambie alichokionja ni sukari tu. Aendelee kucheat atakutana na asali cku moja. Some times the world needs infidelitees like her to teach others a lesson.
 
Wee tulia tuu na huyo wa kwako, uzoefu unaonyesha penzi la wizi linakuwa taamu zaidi. Huenda hata mmeo kuna mtu alimuiba kidogo anatamani awe naye kimoja.
 
Acha umalaya.
Vunja ukimya, ongea na bwana ako ili kuondoa mapungufu.
wana jf mtamsaidiaje huyu mdada.........??

Me ni msichana mwenye umri wa miaka 27 have been dating a man for about miaka minne now, my boy friend is very good looking and very attractive. Ila tatizo linakuja kwenye mambo ya kitandani, before nilikua sijui kama anatatizo lolote kwa sababu yeye ndo man wangu wa kwanza, kweli wahenga wamesema tembea uone. Kuna siku nilicheat na mwanaume mwingine tena ni bwana wa rafiki yangu kwa kweli alinipagawisha sana mpaka leo namthamini sana kuliko boyfriend wangu maana, siku hizi nikiwa nae kwenye kumi na nane zetu simuenjoy kabisa huyu bf wangu.Guys naomba ushauri wenu maana huyu kaka mwingine hawezi kunichukua kimoja coz anamdate my friend though ndo nampenda Sana kuliko wangu.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom