Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
Umeona eh! Mdada wa watu kawa mkweli then anaomba ushauri watu wamekazania kumsema utadhani wao hawajawai kucheat! Infidelity is here to stay!Nimeipenda hii Kimey;
ungeuliza ambaye anaona hajawahi kucheat hata mara moja asogee mbele, ungejionea maajabu........................ (hii haimaanishi mimi na-cheat)